Why not us called PCCB for interview?????


wewe unatuchora tu! ndo nyie mnaotaka kujua idadi ya waliokosa ili muwacheke...
 
don't give up brother stand up and fight for your life
 
ICHANA Why not us called PCCB for interview?????

Naendelea kufikiria maana yake...Ujumbe haueleweki.
 
Last edited by a moderator:

hiyo socialogy ndiyo nini mkuu? hata kuku wangu wamekuzidi akili
 
ukiona ujumbe hauelewi ujue kuw haukuhusu, wahusika wameelewa na wamejibu

Wewe ndiyo hujanielewa. ICHANA analalamika hajaitwa kwenye usaili. Angalia kichwa cha hii "thread" - Why not us called PCCB for interview?????. Ni dhahiri kabisa kwamba uwezo wake wa lugha ni mdogo! Inawezekana barua yake ya maombi iliandikwa kwa mtindo huu. Makosa ya herufi yanakubalika lakini makosa ya "grammar" hayakubaliki, hasa lugha ya kiingereza! Tusiwe wepesi kulaumu kutokuchaguliwa!
 
Last edited by a moderator:

we mwenye grammar nzuri mbona hujaitwa?
 
Last edited by a moderator:
we mwenye grammar nzuri mbona hujaitwa?

Masikini wee. Kwanza, kwataarifa yako, sikuomba hizo nafasi. Pili, wote hatuwezi kufanya kazi PCCB. Kuna maisha mazuri tu sehemu zingine, tena majani ni mabichi kuliko "kutumika" hapo PCCB.
 
acanjeed rastaman i waz born to da island of no pc tz jah bless us
 
Masikini wee. Kwanza, kwataarifa yako, sikuomba hizo nafasi. Pili, wote hatuwezi kufanya kazi PCCB. Kuna maisha mazuri tu sehemu zingine, tena majani ni mabichi kuliko "kutumika" hapo PCCB.

Hukuomba kwakuwa haukuwa na vigezo vilivyo ainishwa.... ni kweli wote hatuwez fanya kazi pccb na unajijua kuwa haukuomba kwahyo kilichokuleta kwenye huu uzi ni umbea tu na si kingine
 

nadhan uwezo mdogo wa lugha ya kiingereza hata mbunge wako anao,lugha hii si yatu,je umeelewa content????usimuhamishe kwenye mada mdau
 
Last edited by a moderator:
nadhan uwezo mdogo wa lugha ya kiingereza hata mbunge wako anao,lugha hii si yatu,je umeelewa content????usimuhamishe kwenye mada mdau

Endeleeni kumtetea "hapa jukwaani" lakini imeshakula kwake. Wewe unasema "content" wakati wataalamu wa PCCB yamkini wanahitaji "ufanisi". Asikate tamaa, maisha yataendelea tu.
 
Hukuomba kwakuwa haukuwa na vigezo vilivyo ainishwa.... ni kweli wote hatuwez fanya kazi pccb na unajijua kuwa haukuomba kwahyo kilichokuleta kwenye huu uzi ni umbea tu na si kingine

Kazi ninayoifanya inanitosha kabisa. Nimeridhika. Sihitaji kazi nyingine kwasasa.
 

Acha kubweteka na hako ka bachelor!
Yupo jamaa mmoja kamaliza degree, afanya vibarua vya ujenzi. Ukumbuke ukipata fundi mzuri, kwa siku hukosi elfu 10-15! Maisha yanaenda, ana mke na watoto wawili kwani alipata girlfriend wakiwa chuo na bahati mbaya huyo dada naye kazi formal hajapata bado.
 
Sasa unatafuta nini hapa, au ndio umekuja kukagua grammar???? nenda jukwaa la siasa ukabishane kuhusu zitto na lowassa

Katika jukwaa ambalo huwa sinamuda nalo ni la siasa. Hata hivyo, siasa siyo kufuatilia mtu, yaani Zitto au Lowassa. Siasa ni kujali maslahi ya wananchi kwa ujumla.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…