mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,838
- Thread starter
- #61
Kumbe wewe ni Qadiani......khaaa!!!!!Mimi ni Muahmadiyya, haya sema ni mambo gani hayo ya msingi ambayo tunatofautiana na hao waisilamu unaowajua???
Qadiani/Ahmadiyya wanasema Muhammad (saw) sio mtume wa mwisho kweli au sio kweli?
Qadiani wanaamini kwamba Mirza ghulam ni sawa sawa na Jesus son of marry kweli au sio kweli?
Qadiani wanaamin kwamba Adam sio binaadam wakwanza kweli au sio kweli?
Qadiani wanaamini kwamba Mirza Ghulam ni nabbi wa Allah tena ni mahdi kweli au sio kweli?
Qadinis wanaamini kwamba masihi dajal ni mfumo wa nchi za wazungu kweli au laa?
Naomba unijibu kwa maanifa ya wengi sipendi maelezo megi plz.be precise
Kama itakua kweli hayo yote nikinyume na Dini ya kiislamu wa Ahmadiyya sio Waislamu, japo wanapenda sana kuitwa Waislamu.