mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,837
- Thread starter
- #261
MUNGU KAMUUMBUA NABBI BATILI MIRZA GHULAMU QADIAN.Mimi sina Jazba, ila nashikwa na huzuni ninapoona hatari inayokuja juu yako unapozidi kumkashifu na kumtusi nabii wa Mungu,
Mimi ninakutahadharisha tu kwani watu wengi wamefedheheka na kudhalilika walipojitia katika mapambano na matusi dhidi ya Hadhrat Ahmad (as), Mungu ndiye aliyemfunulia Wahyi huu kwa lugha ya kiarabu tafsiri yake kwa kiswahili ni hii: "Mimi nitamfedhehesha yule anayekufedhehesha na nitamsaidia yule anayekusaidia".
Wewe umeingia katika kundi la kumfedhehesha, ninaiona hatari ya wewe kufedheheka, tubu mapema na uache kukopi kashfa na matusi dhidi yake kutoka kwa wapinzani wake bali tumia akili zako mwenyewe kumuomba Allah kwa unyenyekevu katika Swala zako (kama huwa unaswali) akujulishe ukwel wa Hadhrat Ahmad (as), acha kibri na majivuno na mdomo mchafu unaokopi kutoka kwa mahasimu wa Ahmadiyya----- "Ahmadiyya forward ever never backward".
katika kitabu chake kiitwacho Tadhkira ukurasa wa 9 vol B (nyekundu):
na pia Tadhikira ukurasa 243 kurasa C( nyekundu) na pia Tadhakira ukurasa 478 (nyekundu)
Mirza Ghulam ali jitokeza na kuambia wafuasi wake eti Allah ame mshushia wahyi (revelation) kwamba yeye Mirza umri wa uhai wake utakua miaka 80 (thamanini)au 85(thamanini na mitano) au 80 kasoro 4.yaani (76).
Tena kwenye ukurasa wa 478 na 869, kitabu hicho hicho ali hakikisha wafuasi wake kwamba lazima hili litokee kama udhibitisho wa Unabbi wake, lisipo timia jua kwamba ni Nabbi wa uongo (khazab).
Mirza Ghulam mwenyewe kuhusu mwaka wake wa kuzaliwa:
Ukurasa 2 (nyekundu) : nime zaliwa siku za mwishi za sikh (late sikhi days) mnamo mwaka 1839 au1840, na mnamo mwaka 1857 nilikua na umri wa miaka 16 (kumi nasita) au (kumi na saba) 17 sikua na ndevu au moustache.
hayo yote yakute kwenye kitabu chake Mirza (ruhani Khazain, Kitab ul Bariyyah, vol 13, P159)
1857-16= 1841
1857-17= 1840
Ukurasa wa kwanza (1) (nyekundu): Mirza kasema pia Baba angu Mirza Murtaza ali fariki ni kiwa na umri takriban miaka 34 au 35. (ruhani Khazain, Kitab ul Bariyyah, vol 13, kur192)
Kurasa ya 3 (nyekundu) :
kwamaana hiyo Baba ake ali fariki mnamo mwaka 1876. (tadhkira 1876)
1876-34=1842
1876-35=1841.
Sasa nyie Ahmadies au Qadianis mtuhesabia hiyo miaka 80 alio bashiri kuishi iko wapi hata mkitumia Gregorian calender au Hijra.
Kazaliwa 1839/40
Kafa. 1908=
68 au 69 umri wake alio ishi.
Manaake Mirza ali ishi miaka 68 au 69 hata 70 akufikisha loh!!!
Mirza alikua Nabbi wa uongo Allah kamuumbua.
Sasa wazee wa ku edit vitabu vyake kwa kiswahili kupotosha umma ya uislamu wame rudisha nyuma tarehe zake za kuzaliwa kua1835, lakini pia bado kufika miaka hiyo 80 au 85. Ni aibu kubwa kuamini Nabbi wa uongo.
Naomba nyie waQadiani/Ahmadiyya njooni mkanushe haya niwa uumbue zaidi na uongo wenu, mnafikiri wa Islamu wote hawana elimu.