MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 561
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
Mhh kila chakula ukionacho njian unakula kw nin usiharbu hali ya hew
hahahaaa, mstahiki meya umezowea shambani kila kitu unatafuna tuu; umenichekesha sana mkuu, siku nyingine usifanye mix kama hiyo ukiwa kwenye usafiri wa jumuiya utaumiza watu!
Utakuwa ulilipua bomu bila kujua ila #Msitahikmayor ulitakiwa usafiri kwa kutumia gari la kazini huku kwenye usafiri wa jumuia tuachie walalahoi.
Haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
haaa hii sio haki tupo safarini nimeskia njaa gari
liakasimama kituo cha mafuta nikanunua viazi
vitamu vya kuchemshwa na mahindi ya kuchemsha
nikala baada ya muda akapndaa jamaa wa korosho
na jamaa wa mayai ya kuchemsha nikachukua mayai
mawili na korosho nikala,tulipofika sehemu ya msosi
kwakuwa nimeshiba nikanunua matunda
mchanganyiko ndizi,parachichi na
maembe,nikanunua na pepsi baridi nikarudi kwenye
gari nikala matunda'tukiwa njiani nikanywa pepsi
yangu nikapitiwa nausingizi nikalala baada ya muda
kidogo nikashtuka nikakuta kuna hali ya hewa nzito
na watu wanalalamika huku wananiangalia kwani ni
mimi tu ndio msafiri pekee yangu kwenye hilo basi
jamani whyyyyyyyy
tumbo lako zuri....