a lot of bullshit .....[/QU Pole sana. Bado huamini kwamba uchumi wa US unakaribia mochwari? Tafuta katika youtube documentary ya BBC inayoitwa 'The Chinese are Coming' uelewe tunaongelea nini. Tumshukuru huyo mmarekani kwa kuwafungua wenzake. Soma makala ya Mihangwa ktk raia mwema la leo, ipo pia online
British Empire ameanguka zamani. Lakini standard of living ya watu wa Britain bado kubwa sana. Likewise, nguvu za Marekani na uchumi wake unapungua lakini bado standard of living itakuwa ya kupeta tu.
ni kweli bongo bado sana, lakini ukiwa huko ulaya au america ni vigumu kutoka kuliko ukiwa hapa. hapa kwetu kuna opportunity nyingi sana hasa za kibiashara kwasababu unalipa kodi kidogo na unaweza usilipe kabisa, unaweza kuwa unawalipa wafanyakazi hela ya chini na ukatengeneza faida kubwa, kuna maviwanja kibao yapo yanauzwa bei chee......i will share with you something, ....kitu cha kwanza nilichofanya niliporudi hapa, kwanza kabisa kile kijihela nilichokuwa nasave nilipokuwa kule, nilinunua eneo kubwa zuri kule KAHAMA, nikajenga lodge kubwa nzuri, vyumba kama 20, na kwa bei chee tu, elfu 20 kwa chumba....bahati nzuri, karibia kila siku vyumba vilikuwa vinajaa, within a year, nikawa mtu wa mamia ya mamilioni, wakati nilianza na hela ndogo tu kama dola $50,000.00. unaweza kuanza hata na dolla chache tu kujenga....nilipukutisha kabisa nikaanza kusimamia mimi mwenyewe kama msimamizi/menager wa lodge hiyo....lodge iko mkoani.....piga hesabu kwa hela hiyo elfu 20 kwa siku (ondoa kuuza chakula na nyama choma pale). ...kwa mwaka napata shilingi ngapi? ondoa ile ya labda siku moja moja havijai compensate na faida ninayopata kwa nyama/mbuzi choma na chakula uanzia breakfast hadi dinner pale....ni zaidi ya millioni kama 150 kwa mwaka...ondoa garama mbalimbali za kulipa mfanyakazi na mlinzi etc...kwa namna hiyo kila mwaka nanunua kiwanja na kuongeza lodge nyingine mkoani naweka ndugu yangu pale au mtu ninayemwamini anasimamia kila wili a naniwekea hela kwenye account....sasa nina miaka kadhaa, na nyumba ya kuishi nzuri nilishajenga, na za kupangisha zipo hapa dar....kwa mambo haya ningeendelea kukaa ulaya/america ningejenga wapi? si ningeendelea kufagia, kuosha vyombo na vyoo vya watu, kulea wazee kwenye nursing homes etc...ulaya labda uwe daktari ndo utapata maisha, ila hawa wabeba box wengine,...karaha ya ajabu na huheshimiki kama hapa....unaishia kuangalia na kushangaa utajiri wa wazungu tu...Msijifariji, bongo bado sana .... I'm sorry.
British Empire ameanguka zamani. Lakini standard of living ya watu wa Britain bado kubwa sana. Likewise, nguvu za Marekani na uchumi wake unapungua lakini bado standard of living itakuwa ya kupeta tu.
Britain wanabebwa na Wamarekani ndiyo maana. Marekani ikianguka lazima na Britain inafuatia.
ni kweli bongo bado sana, lakini ukiwa huko ulaya au america ni vigumu kutoka kuliko ukiwa hapa. hapa kwetu kuna opportunity nyingi sana hasa za kibiashara kwasababu unalipa kodi kidogo na unaweza usilipe kabisa, unaweza kuwa unawalipa wafanyakazi hela ya chini na ukatengeneza faida kubwa, kuna maviwanja kibao yapo yanauzwa bei chee......i will share with you something, ....kitu cha kwanza nilichofanya niliporudi hapa, kwanza kabisa kile kijihela nilichokuwa nasave nilipokuwa kule, nilinunua eneo kubwa zuri kule KAHAMA, nikajenga lodge kubwa nzuri, vyumba kama 20, na kwa bei chee tu, elfu 20 kwa chumba....bahati nzuri, karibia kila siku vyumba vilikuwa vinajaa, within a year, nikawa mtu wa mamia ya mamilioni, wakati nilianza na hela ndogo tu kama dola $50,000.00. unaweza kuanza hata na dolla chache tu kujenga....nilipukutisha kabisa nikaanza kusimamia mimi mwenyewe kama msimamizi/menager wa lodge hiyo....lodge iko mkoani.....piga hesabu kwa hela hiyo elfu 20 kwa siku (ondoa kuuza chakula na nyama choma pale). ...kwa mwaka napata shilingi ngapi? ondoa ile ya labda siku moja moja havijai compensate na faida ninayopata kwa nyama/mbuzi choma na chakula uanzia breakfast hadi dinner pale....ni zaidi ya millioni kama 150 kwa mwaka...ondoa garama mbalimbali za kulipa mfanyakazi na mlinzi etc...kwa namna hiyo kila mwaka nanunua kiwanja na kuongeza lodge nyingine mkoani naweka ndugu yangu pale au mtu ninayemwamini anasimamia kila wili a naniwekea hela kwenye account....sasa nina miaka kadhaa, na nyumba ya kuishi nzuri nilishajenga, na za kupangisha zipo hapa dar....kwa mambo haya ningeendelea kukaa ulaya/america ningejenga wapi? si ningeendelea kufagia, kuosha vyombo na vyoo vya watu, kulea wazee kwenye nursing homes etc...ulaya labda uwe daktari ndo utapata maisha, ila hawa wabeba box wengine,...karaha ya ajabu na huheshimiki kama hapa....unaishia kuangalia na kushangaa utajiri wa wazungu tu...
hapo utanilinganisha vipi na mmarekani aliyeajiriwa anayelipwa kwa mwezi dola elfu tano au hata kumi, na nyumba yake imeshikiliwa na bank nyumba ya kuishi hiyo...hana raha muda wote ndo maana stress haziwaishi wazungu pamoja na kwamba wanaishi kwenye nchi tajiri...hapa ukiwa na kahela kako unaridhika nako na unaishi kwa furaha tu, vyovyote vile hulali njaa na unaheshimika.
you may be right, sio kila mtu anayerudi hapa anafanikiwa kwa namna fulani, cha muhimu ni akili kumkichwa tu na kuchangamkia fulsa ambazo zipo nyingi. hata huko america wapo watz ambao wakipata hela cha kwanza ni starehe kushindana na wazawa, hawana tabia ya kusave walau wamtumie ndugu yao bongo au hata kuwa na malengo fulani in the future, matokeo yake anarudi bongo na shati begani, ameambulia tu kupiga ungéngé lakini mfukoni hakuna hata sentano. hakuna akili kubwa kama kusave katika maisha kama wewe bado haujatoka. ningekuambia mimi dola elfu hamsini nilisave kwa namna gani, jinsi nilivyojibana etc, ungeshangaa, nilipoona nimepata tu hiyo, nikakimbia maisha ya gharama nikaja bongo kwenye maisha ya bei chee, na hela nikaiinvest before its torn out. katima mazingira kama haya, unasahau hata ndugu, acha kusaidia ndugu kabla haujatoka...akija mtu ana shida kwasababu tu umetoka marekani unamtoa baru....ili kile kidogo ulichonacho uwekeze kiwe kikubwa, utakuja upatane naye tu pale utakapokuwa fogo manake utampa si kile tu alichokuwa anaomba kipindi cha nyuma bali hata mara kumi zaidi tena bure pengine si mkopo tena....watz wengi tunaishia kudistribute kidogo tulichonacho kwa watu, mademu, ndugu etc ili tupate masifa kwamba tuna hela, badala ya kuweka msingi kwanza ndo uje usaidie ndugu na mademu badae.You are very subjective. Not everybody who returns to Tanzania becomes slumdog millionaire.