Why inakuwa hv.

Tidito L

Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
97
Reaction score
16
Nimekuwa nikifatilia hv ni kwanini wanaume wanaenda kununua penzi kwa wanawake?nilowauliza 50% wanadai ni wanataka kupunguza sparm zao, wengine wanadai kupata ratha tofauti,wengine kutotaka usumbufu wa kuanza kutöngoza ihalali hela wanayo,wngn kunyimwa na wake zao majumbani. Wengn ni adicted kama kuvuta fegi, pombe nk.
We unalisemeaje hilo.?
Tafathali!! kama huna point kaa kimiya, usome za wenzio.
 
hii siredi ilishaletwa hapa hbu itafute upate majbu kupunguza watu kumaliza resources..................na siwezi kaa kimya coz huna hati miliki ya hii siredi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…