wewe utakufa na sisi wanaume. Kumbuka kila sura ya khume ina mtu wa kike anayemvutia nje xa mke wake. Kumbuka wanawake wanavutiwa na mwanaume eidha kwa sura, mihela, ufanyaji, mavazi, miondoko, kazi anayofanya, marafiki alionao, anakoishi, anakoshinda, kabila lake, anavyoongea, ucheshi, kinywaji anachokunywa. Mwisho wa yote maamuzi ya mwanaume mwenyewe. UTAKWEPA HAPO?