Why great billionaires ni Tech innovators?

Why great billionaires ni Tech innovators?

Hata mimi hichi kitu huwa kinanishangaza, na swali ambalo nimejiuliza muda mrefu sana bila majibu sahihi. It can be a promising sector, but how about other industries ina maana huko huwezi tusua ukawa billionea
 
Kuna kipind huwa kipo chanel Bloomberg' kinaitwa bloomberg technology' kuna kipindi walikuwa wanashindanisha high profitable sectors in world kulikua na Tech, finance & investment kulikua na vigezo ilikupata mshindi (sikumbuki vigezo vyote kwa maana vilikua kama 6 au 7 ivi)
baadhi vigezo vilikua ivi
1.PROFITABILITY
2.SAFENESS
3.RETURN OF INVEST
4.DEMAND
Vigine nimesahau lakini nakumbuka Tech' ilikua ya pili na investiment ya tatu, Finance' financial service ndo ilishika namba moja kwenye secta muhimu na yenye high profitability in world ili win kwenye vipengele vi 5 ivi au 6, wakati Tech' ilishinda kwenye vipengele 4 lakini cha 5 kilikua na utata.. (walikua wana sema financial sector inaitaji sana Tech ku run industry yake) pia investiment ilikua ya tatu kwa kushinda Vipengele 4 sawa na tech
Waliojadili wengi ni watu wa hizo sector
nilimuona, co-founder wa Airbnb, co-founder wa apple, Founder wa google, CEO of bank of america wengine hata siwajui.
Kwangu mm secta bora na zenye faida ni
1.FINANCIAL SERVICE
2.TECH
3.TOURISM
4.INVESTIMENT
 
Kuna kipind huwa kipo chanel Bloomberg' kinaitwa bloomberg technology' kuna kipindi walikuwa wanashindanisha high profitable sectors in world kulikua na Tech, finance & investment kulikua na vigezo ilikupata mshindi (sikumbuki vigezo vyote kwa maana vilikua kama 6 au 7 ivi)
baadhi vigezo vilikua ivi
1.PROFITABILITY
2.SAFENESS
3.RETURN OF INVEST
4.DEMAND
Vigine nimesahau lakini nakumbuka Tech' ilikua ya pili na investiment ya tatu, Finance' financial service ndo ilishika namba moja kwenye secta muhimu na yenye high profitability in world ili win kwenye vipengele vi 5 ivi au 6, wakati Tech' ilishinda kwenye vipengele 4 lakini cha 5 kilikua na utata.. (walikua wana sema financial sector inaitaji sana Tech ku run industry yake) pia investiment ilikua ya tatu kwa kushinda Vipengele 4 sawa na tech
Waliojadili wengi ni watu wa hizo sector
nilimuona, co-founder wa Airbnb, co-founder wa apple, Founder wa google, CEO of bank of america wengine hata siwajui.
Kwangu mm secta bora na zenye faida ni
1.FINANCIAL SERVICE
2.TECH
3.TOURISM
4.INVESTIMENT
Investment unamaanisha nini mkuu??
 
Hela yao inaingia tu haitoki tofauti na wengine eg wenye makampuni ambao kuna kusafirisha bidhaa, kununua malighafi na kujenga branch sehemu mbalimbali
 
Neno moja: Scale.

Idadi ya wafanyakazi sio proportional na idadi ya watumiaji wa huduma zao.
 
Technology ina tabia ya kuhusianisha matokeo, km mgunduzi wa gari si mjuzi wa uchimbaji wa mafuta, Hata akina Bill Gates walivumbua vyakwao lakini anamhitaji mtu na nishati ili uvumbuzi wake uwe na tija so kama ilivyo ecosystem kwa wanyama na mimea, technology inahusianisha.
 
Back
Top Bottom