Sawa, nimekuelewa.
Kwa upande wangu, mashairi yangu yanahitaji kidogo chemsha bongo na kutafakari kwa undani ili kupata ujumbe.
NB: Huwa naandika mashairi ya kiingereza na kiswahili pia.
Angalia hili shairinililoliandika takribani wiki 2 zilizopita;-
WARAKA WANGU MUHIMU:
"TUFANYE NINI 2020?"
Tumevuka salama 2019, ashukuriwe Mungu.
Tu wazima katika TZ yetu huru,
Kwa kweli twakiri 'Ni kwa Neema tu'.
Cha kwanza tufanye nini mwaka huu?
Mimi na wewe "Tutubu".
Mengi majanga yamewapata wenzetu,
Na sasa yamewapata wakwetu.
Ajali na mauaji twaona na kupotezea tu,
Mvua na mafuriko twaona na kusikitika tu.
Yale ya Kenya, Libya, China na Congo yasije tupata huku.
Waulize wana wa Israeli kama huamini tu.
Machozi yetu yahusike na Turejee kwa Mungu.
Cha pili tufanye nini mwaka huu sasa?
Mimi na wewe "Tu'save chakula".
Mahindi, mpunga, maharage, ngano, tu'save sana.
Bila kusahau snacks, vingine tusindike na tuweke kwenye 'ghala'.
Tusisubiri hao nzige waingie shamba,
Tusisubiri yapite yale miaka saba.
Muulize Farao na Yusufu kama huamini sasa.
Tutazamie mana na wale kunguru? Tutumie akili inavyotupasa.
Cha tatu tufanye nini mwaka huu pia?
Mimi na wewe "Tushirikiane" pia.
Katika kazi na ajira tuwe na moja nia.
Kwani wachina walitupita kwa gani gia?
Kwani wahindi wameweza kurithishana kwa gani wosia?
Wahitimu wa mara-paap! acheni kuvuta hisia,
Wazee wa shortcut hakuna Kanaani pasipo kuumia,
Waalimu na serikali waandaeni watoto kuwa job-creators wasio bandia,
Vijana tuwe na round-tables za maana na tuache kudandia,
Tuunganishe na tushirikiane maarifa, ujuzi, vipaji na pesa, kwa ubia.
Tujifunze kwa 'chungu' washirikianao kwa asilimia mia.
Laiti tungejua siri iliyopo katika umoja wa nia.
Pia, angalia hilishairi nililoliandika takribani wiki 4 zilizopita;-
L'envoy: LINDI FLOODS
Once lived happily ever after,
Until came tragedy - Lindi's raptor.
Floods' works was softer,
As if the creditor met its debtor.
Homes torn down - so bitter!
Everyone's now a survivor.
One week's time revolutionized things!
Catastrophe visited Majaliwa's province.
Now Nineteen and counting, aftermath brings.
To this emergency everyone seems a novice!
16 villages and 3774 households injured with floods stings,
God knows, but this wasn't their choice.
Now they're in uncalculated shortage,
Mattresses, food, clothes - needing basic needs.
More than fifteen thousand got nothing to mortgage,
The touched are to come and add to survivors' needs,
Until now there're no measures gauge,
And yes, babies and oldies need their feeds!
Sent using Jamii Forums mobile app
nakazia, anatakiwa awe creative! nake it short but hotMim nimtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndugu, nimetilia maanani kila ushauri nilioupokea.Kuna mtu hapo juu kakushauri vizuri tu kulingana na uhalisia wa sasa ktk ulimwengu wa sayansi & technology, ila naona umempuuzia. Haya.
Ahsante kwa ushauri. Naendelea kufanyia kazi swala hili.Joseph E.M,
Kuna hili shairi A dream within a dream by Edgar. Ameelezea the difference of time and our perceptions of life itself.
He considered grains of golden sand as TIME.
The grains golden sand are Few, yet they creep without noticing . He wish he could grasp them with a tight clasp. Here he was expressing the denial of death.
Ukiwa unatunga Mashairi make sure ni more appealing and meaningful for the great thinker
Good luck
Thank you. I appreciate your honesty... Personally, I started writing poems while I was in form 4 (2014), as a way of expressing my ideas, imagination and creativity.I admire people who can do poetry, I wish I could but I guess we are all different.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali, nimekupata.Mim ni mtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa ushauri.inatakiwa uandike mashairi mazuri, kila kitu kinalipa kikiwa kizuri. Tatizo la waandishi wengi wa Tanzania hatupendi kusoma kazi za wenzetu wanaofanya vizuri kwenye tasnia hiyo. Ukijua wanaofanya vizuri kwenye ushairi wanaanikaje na wanaandika kitu gani utaanza kuona mafanikio. Na sio ukijua kanuni za uandishi tu basi unakua mwandishi. Mwandishi mzuri ana maono. Angalia kazi nzuri za ushairi duniani na Afrika halafu ujipime kama upo kwenye level hizo
Sawa kaka.Moja kati ya jambo linalofanya washairi wengi kufeli ni huko kutojulikana, kusema kweli mimi leo ndo nakuona JF kama mshairi, jambo hili tumejadili kiasi cha siku saba zilizopita sehemu fulani, hebu nitafute tuzungumze kwa kina kuhusu jambo hili.
Mim ni mtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hivi ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผau sio?
Mimi napenda Ushairi na ni mtunzi pia, mashairi ninayo yahusudu na kuyapenda ni ya Kiswahili na Kiarabu.Sawa, nimekuelewa.
Kwa upande wangu, mashairi yangu yanahitaji kidogo chemsha bongo na kutafakari kwa undani ili kupata ujumbe.
NB: Huwa naandika mashairi ya kiingereza na kiswahili pia.
Angalia hili shairinililoliandika takribani wiki 2 zilizopita;-
WARAKA WANGU MUHIMU:
"TUFANYE NINI 2020?"
Tumevuka salama 2019, ashukuriwe Mungu.
Tu wazima katika TZ yetu huru,
Kwa kweli twakiri 'Ni kwa Neema tu'.
Cha kwanza tufanye nini mwaka huu?
Mimi na wewe "Tutubu".
Mengi majanga yamewapata wenzetu,
Na sasa yamewapata wakwetu.
Ajali na mauaji twaona na kupotezea tu,
Mvua na mafuriko twaona na kusikitika tu.
Yale ya Kenya, Libya, China na Congo yasije tupata huku.
Waulize wana wa Israeli kama huamini tu.
Machozi yetu yahusike na Turejee kwa Mungu.
Cha pili tufanye nini mwaka huu sasa?
Mimi na wewe "Tu'save chakula".
Mahindi, mpunga, maharage, ngano, tu'save sana.
Bila kusahau snacks, vingine tusindike na tuweke kwenye 'ghala'.
Tusisubiri hao nzige waingie shamba,
Tusisubiri yapite yale miaka saba.
Muulize Farao na Yusufu kama huamini sasa.
Tutazamie mana na wale kunguru? Tutumie akili inavyotupasa.
Cha tatu tufanye nini mwaka huu pia?
Mimi na wewe "Tushirikiane" pia.
Katika kazi na ajira tuwe na moja nia.
Kwani wachina walitupita kwa gani gia?
Kwani wahindi wameweza kurithishana kwa gani wosia?
Wahitimu wa mara-paap! acheni kuvuta hisia,
Wazee wa shortcut hakuna Kanaani pasipo kuumia,
Waalimu na serikali waandaeni watoto kuwa job-creators wasio bandia,
Vijana tuwe na round-tables za maana na tuache kudandia,
Tuunganishe na tushirikiane maarifa, ujuzi, vipaji na pesa, kwa ubia.
Tujifunze kwa 'chungu' washirikianao kwa asilimia mia.
Laiti tungejua siri iliyopo katika umoja wa nia.
Pia, angalia hilishairi nililoliandika takribani wiki 4 zilizopita;-
L'envoy: LINDI FLOODS
Once lived happily ever after,
Until came tragedy - Lindi's raptor.
Floods' works was softer,
As if the creditor met its debtor.
Homes torn down - so bitter!
Everyone's now a survivor.
One week's time revolutionized things!
Catastrophe visited Majaliwa's province.
Now Nineteen and counting, aftermath brings.
To this emergency everyone seems a novice!
16 villages and 3774 households injured with floods stings,
God knows, but this wasn't their choice.
Now they're in uncalculated shortage,
Mattresses, food, clothes - needing basic needs.
More than fifteen thousand got nothing to mortgage,
The touched are to come and add to survivors' needs,
Until now there're no measures gauge,
And yes, babies and oldies need their feeds!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante.Mimi napenda Ushairi na ni mtunzi pia, mashairi ninayo yahusudu na kuyapenda ni ya Kiswahili na Kiarabu.
Ushauri wangu kwanza jifunze uandishi mzuri na utunzi wa Mashairi. Sababu unaandika pia ya Kiswahili, lengo uandike kazi za kuvutia na bora zaidi, kwa kuanzia soma kitabu cha Sheikh Abeid Kaluta Amri, kitabu chake kinaitwa "Kanuni za kutunga Mashairi na Diwani ya Amri", kadhalika soma mashairi ya magwiji.
Kisha fanyia kazi ushauri wa wadau wengine walio kupa.
exactly mkuu,.. hongera sana, anyways unajua mkuuKama hiviau sio?
"That dazzling smile oozes the cone,
That angelic face seizes the loan,
That voice soothes the torn.
Who says the beauty are yet to be born?"
NB: I'm not a professional poet; bado najifunza...
Shukrani ndugu yangu!exactly mkuu,.. hongera sana, anyways unajua mkuu
Hili ndiyo tatizo kubwa sana, mimi huwa nawaambia vijana wenzangu huwezi kuwa gwiji na guru kama husomi kazi za wakubwa wako, sababu mkubwa mkubwa tu na aliyetangulia ametangulia.inatakiwa uandike mashairi mazuri, kila kitu kinalipa kikiwa kizuri. Tatizo la waandishi wengi wa Tanzania hatupendi kusoma kazi za wenzetu wanaofanya vizuri kwenye tasnia hiyo. Ukijua wanaofanya vizuri kwenye ushairi wanaanikaje na wanaandika kitu gani utaanza kuona mafanikio. Na sio ukijua kanuni za uandishi tu basi unakua mwandishi. Mwandishi mzuri ana maono. Angalia kazi nzuri za ushairi duniani na Afrika halafu ujipime kama upo kwenye level hizo