Why don't poems pay in Tanzania?

Joseph E.M,

Kuna hili shairi A dream within a dream by Edgar. Ameelezea the difference of time and our perceptions of life itself.

He considered grains of golden sand as TIME.

The grains golden sand are Few, yet they creep without noticing . He wish he could grasp them with a tight clasp. Here he was expressing the denial of death.

Ukiwa unatunga Mashairi make sure ni more appealing and meaningful for the great thinker

Good luck
 
Mim ni mtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.
Sawa, nimekuelewa.

Kwa upande wangu, mashairi yangu yanahitaji kidogo chemsha bongo na kutafakari kwa undani ili kupata ujumbe.

NB: Huwa naandika mashairi ya kiingereza na kiswahili pia.

Angalia hili shairi nililoliandika takribani wiki 2 zilizopita;-

WARAKA WANGU MUHIMU:
"TUFANYE NINI 2020?"

Tumevuka salama 2019, ashukuriwe Mungu.
Tu wazima katika TZ yetu huru,
Kwa kweli twakiri 'Ni kwa Neema tu'.
Cha kwanza tufanye nini mwaka huu?
Mimi na wewe "Tutubu".
Mengi majanga yamewapata wenzetu,
Na sasa yamewapata wakwetu.
Ajali na mauaji twaona na kupotezea tu,
Mvua na mafuriko twaona na kusikitika tu.
Yale ya Kenya, Libya, China na Congo yasije tupata huku.
Waulize wana wa Israeli kama huamini tu.
Machozi yetu yahusike na Turejee kwa Mungu.

Cha pili tufanye nini mwaka huu sasa?
Mimi na wewe "Tu'save chakula".
Mahindi, mpunga, maharage, ngano, tu'save sana.
Bila kusahau snacks, vingine tusindike na tuweke kwenye 'ghala'.
Tusisubiri hao nzige waingie shamba,
Tusisubiri yapite yale miaka saba.
Muulize Farao na Yusufu kama huamini sasa.
Tutazamie mana na wale kunguru? Tutumie akili inavyotupasa.

Cha tatu tufanye nini mwaka huu pia?
Mimi na wewe "Tushirikiane" pia.
Katika kazi na ajira tuwe na moja nia.
Kwani wachina walitupita kwa gani gia?
Kwani wahindi wameweza kurithishana kwa gani wosia?
Wahitimu wa mara-paap! acheni kuvuta hisia,
Wazee wa shortcut hakuna Kanaani pasipo kuumia,
Waalimu na serikali waandaeni watoto kuwa job-creators wasio bandia,
Vijana tuwe na round-tables za maana na tuache kudandia,
Tuunganishe na tushirikiane maarifa, ujuzi, vipaji na pesa, kwa ubia.
Tujifunze kwa 'chungu' washirikianao kwa asilimia mia.
Laiti tungejua siri iliyopo katika umoja wa nia.


Pia, angalia hili shairi nililoliandika takribani wiki 4 zilizopita;-

L'envoy: LINDI FLOODS

Once lived happily ever after,
Until came tragedy - Lindi's raptor.
Floods' works was softer,
As if the creditor met its debtor.
Homes torn down - so bitter!
Everyone's now a survivor.

One week's time revolutionized things!
Catastrophe visited Majaliwa's province.
Now Nineteen and counting, aftermath brings.
To this emergency everyone seems a novice!
16 villages and 3774 households injured with floods stings,
God knows, but this wasn't their choice.

Now they're in uncalculated shortage,
Mattresses, food, clothes - needing basic needs.
More than fifteen thousand got nothing to mortgage,
The touched are to come and add to survivors' needs,
Until now there're no measures gauge,
And yes, babies and oldies need their feeds!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya jambo linalofanya washairi wengi kufeli ni huko kutojulikana, kusema kweli mimi leo ndo nakuona JF kama mshairi, jambo hili tumejadili kiasi cha siku saba zilizopita sehemu fulani, hebu nitafute tuzungumze kwa kina kuhusu jambo hili.
 
Joseph E.M,

Kuna hili shairi A dream within a dream by Edgar. Ameelezea the difference of time and our perceptions of life itself.

He considered grains of golden sand as TIME.

The grains golden sand are Few, yet they creep without noticing . He wish he could grasp them with a tight clasp. Here he was expressing the denial of death.

Ukiwa unatunga Mashairi make sure ni more appealing and meaningful for the great thinker

Good luck
Ahsante kwa ushauri. Naendelea kufanyia kazi swala hili.
 
inatakiwa uandike mashairi mazuri, kila kitu kinalipa kikiwa kizuri. Tatizo la waandishi wengi wa Tanzania hatupendi kusoma kazi za wenzetu wanaofanya vizuri kwenye tasnia hiyo. Ukijua wanaofanya vizuri kwenye ushairi wanaanikaje na wanaandika kitu gani utaanza kuona mafanikio. Na sio ukijua kanuni za uandishi tu basi unakua mwandishi. Mwandishi mzuri ana maono. Angalia kazi nzuri za ushairi duniani na Afrika halafu ujipime kama upo kwenye level hizo
 
I admire people who can do poetry, I wish I could but I guess we are all different.

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you. I appreciate your honesty... Personally, I started writing poems while I was in form 4 (2014), as a way of expressing my ideas, imagination and creativity.
I believe that you can also achieve whatever you put your mind into it. Still, with our differences, we can do many great and productive stuff!
 
Mim ni mtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali, nimekupata.
Kwa mtazamo wako unaweza ukawa upo sahihi.
Nimetunga mashairi karibia 300 na hapa nimetuma mashairi machache sana ili muone. Nisingeweza kuyatuma yote hapa ili uone lipi linakuvutia na lipi halikuvutii.
 
inatakiwa uandike mashairi mazuri, kila kitu kinalipa kikiwa kizuri. Tatizo la waandishi wengi wa Tanzania hatupendi kusoma kazi za wenzetu wanaofanya vizuri kwenye tasnia hiyo. Ukijua wanaofanya vizuri kwenye ushairi wanaanikaje na wanaandika kitu gani utaanza kuona mafanikio. Na sio ukijua kanuni za uandishi tu basi unakua mwandishi. Mwandishi mzuri ana maono. Angalia kazi nzuri za ushairi duniani na Afrika halafu ujipime kama upo kwenye level hizo
Nashukuru kwa ushauri.
Binafsi, napenda kazi zangu ziwe za kipekee na tofauti kuliko kujilinganisha na wengine. Ila bado naendelea kujifunza...
 
Moja kati ya jambo linalofanya washairi wengi kufeli ni huko kutojulikana, kusema kweli mimi leo ndo nakuona JF kama mshairi, jambo hili tumejadili kiasi cha siku saba zilizopita sehemu fulani, hebu nitafute tuzungumze kwa kina kuhusu jambo hili.
Sawa kaka.
 
Mim ni mtu wakawaida sio mtunzi ila naona mashairi yako hayavutii, usivunjike moyo inawezekana ukawa unajua kutunga ila hayavutii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200916-114615.png
 
Sawa, nimekuelewa.
Kwa upande wangu, mashairi yangu yanahitaji kidogo chemsha bongo na kutafakari kwa undani ili kupata ujumbe.

NB: Huwa naandika mashairi ya kiingereza na kiswahili pia.

Angalia hili shairi nililoliandika takribani wiki 2 zilizopita;-

WARAKA WANGU MUHIMU:
"TUFANYE NINI 2020?"

Tumevuka salama 2019, ashukuriwe Mungu.
Tu wazima katika TZ yetu huru,
Kwa kweli twakiri 'Ni kwa Neema tu'.
Cha kwanza tufanye nini mwaka huu?
Mimi na wewe "Tutubu".
Mengi majanga yamewapata wenzetu,
Na sasa yamewapata wakwetu.
Ajali na mauaji twaona na kupotezea tu,
Mvua na mafuriko twaona na kusikitika tu.
Yale ya Kenya, Libya, China na Congo yasije tupata huku.
Waulize wana wa Israeli kama huamini tu.
Machozi yetu yahusike na Turejee kwa Mungu.

Cha pili tufanye nini mwaka huu sasa?
Mimi na wewe "Tu'save chakula".
Mahindi, mpunga, maharage, ngano, tu'save sana.
Bila kusahau snacks, vingine tusindike na tuweke kwenye 'ghala'.
Tusisubiri hao nzige waingie shamba,
Tusisubiri yapite yale miaka saba.
Muulize Farao na Yusufu kama huamini sasa.
Tutazamie mana na wale kunguru? Tutumie akili inavyotupasa.

Cha tatu tufanye nini mwaka huu pia?
Mimi na wewe "Tushirikiane" pia.
Katika kazi na ajira tuwe na moja nia.
Kwani wachina walitupita kwa gani gia?
Kwani wahindi wameweza kurithishana kwa gani wosia?
Wahitimu wa mara-paap! acheni kuvuta hisia,
Wazee wa shortcut hakuna Kanaani pasipo kuumia,
Waalimu na serikali waandaeni watoto kuwa job-creators wasio bandia,
Vijana tuwe na round-tables za maana na tuache kudandia,
Tuunganishe na tushirikiane maarifa, ujuzi, vipaji na pesa, kwa ubia.
Tujifunze kwa 'chungu' washirikianao kwa asilimia mia.
Laiti tungejua siri iliyopo katika umoja wa nia.

Pia, angalia hili shairi nililoliandika takribani wiki 4 zilizopita;-

L'envoy: LINDI FLOODS

Once lived happily ever after,
Until came tragedy - Lindi's raptor.
Floods' works was softer,
As if the creditor met its debtor.
Homes torn down - so bitter!
Everyone's now a survivor.

One week's time revolutionized things!
Catastrophe visited Majaliwa's province.
Now Nineteen and counting, aftermath brings.
To this emergency everyone seems a novice!
16 villages and 3774 households injured with floods stings,
God knows, but this wasn't their choice.

Now they're in uncalculated shortage,
Mattresses, food, clothes - needing basic needs.
More than fifteen thousand got nothing to mortgage,
The touched are to come and add to survivors' needs,
Until now there're no measures gauge,
And yes, babies and oldies need their feeds!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi napenda Ushairi na ni mtunzi pia, mashairi ninayo yahusudu na kuyapenda ni ya Kiswahili na Kiarabu.

Ushauri wangu kwanza jifunze uandishi mzuri na utunzi wa Mashairi. Sababu unaandika pia ya Kiswahili, lengo uandike kazi za kuvutia na bora zaidi, kwa kuanzia soma kitabu cha Sheikh Abeid Kaluta Amri, kitabu chake kinaitwa "Kanuni za kutunga Mashairi na Diwani ya Amri", kadhalika soma mashairi ya magwiji.

Kisha fanyia kazi ushauri wa wadau wengine walio kupa.
 
Mimi napenda Ushairi na ni mtunzi pia, mashairi ninayo yahusudu na kuyapenda ni ya Kiswahili na Kiarabu.

Ushauri wangu kwanza jifunze uandishi mzuri na utunzi wa Mashairi. Sababu unaandika pia ya Kiswahili, lengo uandike kazi za kuvutia na bora zaidi, kwa kuanzia soma kitabu cha Sheikh Abeid Kaluta Amri, kitabu chake kinaitwa "Kanuni za kutunga Mashairi na Diwani ya Amri", kadhalika soma mashairi ya magwiji.

Kisha fanyia kazi ushauri wa wadau wengine walio kupa.
Ahsante.
 
Kama hivi au sio?

"That dazzling smile oozes the cone,
That angelic face seizes the loan,
That voice soothes the torn.
Who says the beauty are yet to be born?"

NB: I'm not a professional poet; bado najifunza...
exactly mkuu,.. hongera sana, anyways unajua mkuu
 
inatakiwa uandike mashairi mazuri, kila kitu kinalipa kikiwa kizuri. Tatizo la waandishi wengi wa Tanzania hatupendi kusoma kazi za wenzetu wanaofanya vizuri kwenye tasnia hiyo. Ukijua wanaofanya vizuri kwenye ushairi wanaanikaje na wanaandika kitu gani utaanza kuona mafanikio. Na sio ukijua kanuni za uandishi tu basi unakua mwandishi. Mwandishi mzuri ana maono. Angalia kazi nzuri za ushairi duniani na Afrika halafu ujipime kama upo kwenye level hizo
Hili ndiyo tatizo kubwa sana, mimi huwa nawaambia vijana wenzangu huwezi kuwa gwiji na guru kama husomi kazi za wakubwa wako, sababu mkubwa mkubwa tu na aliyetangulia ametangulia.

Vijana wanakukuruka na kazi zao tu mwisho wa siku kazi zao zinakuwa nyepesi na zisizo dumu.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom