Why do women cheat...

huyu sijui ndo kafumaniwa na husband wa mwenzio ...
 
Kabisa! hakuna kilicho bora. Kwa hiyo mtu ukikubali kuwa kwenye uhusiano na mtu ukubali pia kuna uwezekano wa wewe kuibia au yeye kukuibia. Sasa wengine hatupendi shida. Kuishi na wasiwasi wa namna hiyo kwangu ni shida.

Kwa hiyo umeamua kuwa single for the rest of your life?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…