Nimekusoma. Unasema tunaweza kushirikiana na nchi nyingine bila kuwa na union. Hivyo ndivyo tulivyo hivi sasa. Tunashirikiana na jirani zetu wote mpaka tumeondoleana visa za kuingia nchini. Lakini tunaogopa nini kufanya political union? Kuweka nguvu zetu pamoja katika majeshi, katika siasa na katika uchumi? What is wrong with a political union? Why so much fear? I see more benefits in a political union than just kushirikiana na nchi nyingine. Unanielewa? Let us get rid of our phobias, fears, etc and let us embrace the future.
Jasusi we have so many other problems that we haven't been able to solve like employment, energy, union, foreign policy, national interest, land issue, mineral, corruption and so forth. Now you wanna add another burden like people with no land to our backyard? Come on man!
What the OP is questioning has nothing to do with xenophobia but a legitimate concern about his country and his people. You have people like Museveni who wants to be the president of east Africa federation, the man who's leadership is known for ruling with the iron of fist. Look! I respect your stand on this one and how important it is to our economy in the region but why so fast?
When you have millions of Tanzanian questioning this then you bet there are some legitimate concern. Our leaders are known for the lack of seriousness when it comes to negotiating with other leaders especially in protecting our resources. We have seen the same people signing bogus deals like Richmond and many many others, then how can we trust the same people who have shown some weakness in leadership to negotiate on EA federation matters? This is what the OP is asking, he wanna know if there is a secret agenda that the rest of us are unaware of.
You have to look beyond Museveni. He will not be there forever. Uganda will be there forever. You cannot wait until you solve your unemployment, energy, education and what have you problems before you can look to uniting. Just imagine if Tanzania and Kenya, since they are the only East African countries that are not landlocked, had one Naval army patrolling the east african coast. Just imagine if we united our armies, the airforce, the infantry, we would be a formidable force. One lucky thing we have in East Africa is that all our soldiers speak Kiswahili. The reason Tanzanians are questioning the values of an east african federation is because we do not have keen leadership. We have a president who is neutral when it comes to the federation issue but will not hesitate to go to America to ask for a patrol boat. You ask why so fast? How long should we wait? If it cannot be done now then when?
And that is very sad indeed. Because we have a leadership vacuum. There is no one to lead the people.There's no political will, especially when it comes to Tanzanians.
Mie napenda tuungane haraka na wengine maana sioni kama kwa dunia ya sasa kuna njia mbadala ya kujenga uwezo wa kukabiliana na mataifa kama India, China na yale ya magharibi zaidi ya kuungana. Wasiwasi wangu ni kuwa approach inayotumika kutafuta muungano sidhani kama itatuwezesha kufikia lengo. Mie naona hakuna muungano uliofikiwa kwa kura za maoni za wananchi husika. Si rahisi watu kukubaliana kuhusu muungano maana watu hatuwazi sawa. kwa mfano ni rahisi watanzania wengi kuiona kenya au uganda kama kitisho sana lakini wasione kama India, China ni kitisho kikubwa zaidi. Ktk mazingira hayo ni kulazimisha tu ndio effective ktk hilo.
.Mie napenda tuungane haraka na wengine maana sioni kama kwa dunia ya sasa kuna njia mbadala ya kujenga uwezo wa kukabiliana na mataifa kama India, China na yale ya magharibi zaidi ya kuungana.
Kweli kabisa ndugu yangu Chamoto, nilisha badili mawazo kitambo. Sasa hivi naona kabisa kila nchi itatue matatizo yake. Tushughulikie matatizo yetu kwa nguvu, mambo ya kuungana tuachane nayo kabisa, yatatuletea matatizo makubwa..
Unaona sasa matatizo yanayotokea Kenya, sasa tungeungana ki siasa haraka haraka si ingekuwa shida?