Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Tatizo lenu hamkubali kuwa vichwa vyenu vimejaa uji uji!
Mugabe alikuwa anasemaga hivyo hivyo!
Lakini dunia hii ukifanya ujinga ujinga malipo ni hapa hapa!!
Jiwe alikosea kuanza kila kitu upya kama vile ndo tumetoka kupataa uhuru. Mambo ya ubeberu yalimshinda Nyerere tukapanga foleni ya unga JPM anayaanzisha tena.