Which country you want us to go to next

Which country you want us to go to next

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,137
Reaction score
33,547
FAFO kumbe ni project ambayo sasa kila ditekta kama mfano wa maduro inakuja kwake.

Wamarekani washasoma mchezo sasa nchi nyingi raia wa nchi za maditekta wanakosa haki na democracy.

Hii project nimetonywa na endelevu ndio maana leo umeona Umoja wa afrika wamekuja kimbele mbele 😁 nao wanakemea kilichofanywa.

FAFO kwa ajili yenu maditekta. Binti msumi wenzako wanakuja kunyolewa

FB_IMG_1767535696662.jpg
 
Back
Top Bottom