Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Mphamvu asa Internet unaitumia kwa kuangalia picha za X tu kisha shughuli zote unaenda zimwaga chooni?
Ok AC Milan kacheza mechi 58 bila kupoteza, na hao Juve wamecheza 49.
So nadhani umepata la kwenda kuwahadithia oya oya wenzio.
Mwenyewe unaona umenipa la kusema eh?
Rejea context ya mimi kutaja rekodi ya Juve, lengo la aliyeuliza halikuwa kulinganisha nani ana rekodi ndefu kama picha la kihindi, ishu ilikuwa ni Juve mefikia game ngapi unbeaten so far...
Jibu linalohusisha na rekodi za vibwengo bila shaka lingekuwa la kimbea zaidi. Umepewa mwili mkubwa utendee haki kidogo, sawa braza?
Kuhusu info search wala usihofu, mie ni mtumiaji mzuri kupita ukawaida, hence x nacheza zangu na shemejiyo wa kisukuma... Ana engine kama ina meno ya gia kwa ndani hivi.
We acha tu....