what is it?

Mkandara ulivyosema Oman ni nchi masikini sijakuelewa. Navyojua GDP per capita ya Oman ni kubwa kuliko TZ.
Mkandara wrote "Nchi kama Oman ambazo Sultan wake alifikia kututawala sisi mbona nazo maskini"
Mkuu wangu nchi maskini sio lazima ziwe chini ya Tanzania. Oman maskini na hata ukizungumzia GDP wanazidiwa na nchi kibao maskini pia, tena basi wanalingana na Sudan tazama data zote za IMF, World bank na hata CIA upate uhakika. Kwa hiyo sii GDP inayo ashiria Utajiri wa nchi ila GDP ni kiungo kikubwa kinachowezesha kwa wenye kufahamu maana.
 


Usivyunjike moyo, hoja na changamoto unazo lakini kwa ushauri, jaribu kuwavuta wachangiaji ukiomesha pia mafanikio ya oppposition na sio kasoro zao tu. Binafsi nimechoka kusoma mambo ya ushabiki, kama ni spamm basi ni wale washabiki wa vyama vyao, wasiotaka kusikia makosa kuhusu chama chao. Hao ndio spamm hapa JF, na wengine ni bendera fuata upepo... Hawana hoja bali vitimbi, by now you know that hapa JF majority ni Chadema....SEMA USIOGOPE
 

Kichwa cha Panzi kinafikiria kula majani
 
 
Mtoto anaandika mambo mengi!!!! We don't have the luxury of reading all that cheap staff young man. Try to be brief and focused. Kafanye hiyo exercise and when you are done please come back again, ok?
 
Kwa kawaida hatujibu hoja kwa jazba wala kwa kuzifupisha wala vitisho wala kwa maswali.............huku ni kukosa maoni kwa maana mimi nimetoa hoja inabidi zijibiwe kwa hoja sio vinginevyo.
 
Kwa kawaida hatujibu hoja kwa jazba wala kwa kuzifupisha wala vitisho wala kwa maswali.............huku ni kukosa maoni kwa maana mimi nimetoa hoja inabidi zijibiwe kwa hoja sio vinginevyo.

Rubbish!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…