Mavazi yana umri ndugu. Tuache vijana wajinafasi.
Mimi nilipokuwa kijana nilikuwa navaa nguo ambazo hata nikijicheki kwenye kioo mwenyewe najiogopa. Sasa nikitoka hao wengine nao lazima waisome namba. Hapo naridhika sana na sikuwa maharage ya mbeya wala... ila mavazi tu nilitesa nayo ipaswavyo.
Ni kawaida sana hasa kama umezaliwa mujini kwenda na wakati.
Na sidhani kama wanaume wote hawapendi hizo nguo za vijana.. including my hubby ambaye tunagombana sana nikiamua kuvaa nguo ndefu.