Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Amen! Like! Like! Like! Like!
Team 'women' at work
Amen! Like! Like! Like! Like!
If you really don't know, you are either gay or a virgin.
Who said we dress up so that u male species can undress us. Get real boy, our lives don't revolve around u guys, we have a purpose for our lives pia!
U can call us all the names but we won't be what u call us just because u call us so!
As for the title of ur thread; what do u men have to offer in bed?
hayo yote ni kuiga utmaduni ya kimangaribi , mimi naishi marekani sasa ni kipindi cha summer kunajoto. wadada wanavaa vitu vya aibu tena aibu kwani unaona ramani nzima ya sehemu ya nje ya uke wake. kwajinsi navyoona baada ya miaka mingine kumi watu watatembea bila nguo.means necked na sisi wa bongo ndiyo tunaiga. tuaishi pabaya kisa kila mtu anauhuru wa kuvaanacho hisi nisahii kwake. sawa yetu macho
Mimi naona wazungu wamewaiga waafrika kuvaa nusu uchi, coz kumbukumbu za kihistoria zinaonesha kwamba wakoloni walipofika nchi hizi za kwetu, waliwakukuta machifu wakiwa nusu uchi, na raia wakiwa uchi kabisa nao wakaiga wakidhani tulipenda hali hiyo kumbe ilikuwa ni lack of technical know how. Hata hata hivyo adam 'n eve pia walikuwa nusu uchi covering only the confidential parts using bush leaves.
Kaunga sikuwa nataka kucoment kwenye huu uzi but hoja yako hii imenigusa. Hivi jamani mwanamke hana uhuru dah! yaani akivaa shida asipovaa shida. akipendeza shida asipopendeza shida lol.DALA l don't care about tatizo lako au la mtu mwingine, ninavaa ninavyojisikia na nilivyopanga; if l irritate u with that, go live in ur own world ambayo hautaishare na mtu mwingine.
Let them be, mbona sisi hatudictate muishi vipi, muongee vipi au mbehave vipi. Una uwezo wa kumpangia mkeo au mwanao tu, the rest hauna uwezo nguvu wala mamlaka; kulaklama humu hakusaidii!
Nyani Ngabu naomba unifundishe kiingereza, kila siku nitumie somo moja na qiuz hasa grammer na tenses. namaanisha.In black, it is 'revolve' and not evolve. In red, it should have been 'for' and not of. Thank you.
mmmhh, we dada tumia tasifida kidogo du! Kavukavu namna hiyo....!!!kama 'unamaliza' kwa kuangalia tu basi una matatizo....mnh wenzako wanatouch,wananyonyana,wanagusanisha makojoleo ndio wanamaliza,na hayo yote yanahitaji privacy ya chumba.........:redface::redface:
Who said we dress up so that u male species can undress us. Get real boy, our lives don't revolve around u guys, we have a purpose for our lives pia!
U can call us all the names but we won't be what u call us just because u call us so!
As for the title of ur thread; what do u men have to offer in bed?
Mavazi yana umri ndugu. Tuache vijana wajinafasi.
Mimi nilipokuwa kijana nilikuwa navaa nguo ambazo hata nikijicheki kwenye kioo mwenyewe najiogopa. Sasa nikitoka hao wengine nao lazima waisome namba. Hapo naridhika sana na sikuwa maharage ya mbeya wala... ila mavazi tu nilitesa nayo ipaswavyo.
Ni kawaida sana hasa kama umezaliwa mujini kwenda na wakati.
Na sidhani kama wanaume wote hawapendi hizo nguo za vijana.. including my hubby ambaye tunagombana sana nikiamua kuvaa nguo ndefu.
Wewe nawe umeniboa na comment yako. Sorry niko kama nimepoteza ma temper (lost ma temper). Kama sio huu utandawazi, namaanisha enzi za mama zako na baba zako ungekuja na comment kama hii. Sikutaka ku-comment hii thread ilikua nisome tu watu walichoandika lakini nimeona niandike tu chochote kuhusu ulichoandika. Nothing personal hapa. I am just trying to get ma feeling heard.
Kama nimekukwaza nisamehe