Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,404
- 7,310
Hii namba inaniibia fedha yangu katika acount ya simu ya Vodacom..sasa nimechoka voda wenyewe nahisi wanashiriki..nikiwapigia voda nawaeleza kuwa no.15556 inanitumia msg za Olimpiki wakati mi sijajiunga,kastama care wa voda wananiambia eti nimejiunga wakati misijajiunga,Voda huwa wananiambia niandike neno ONDOA kwenda no.15556..hii namba inanijibu 'SAMAHANI UJAJIUNGA NA HUDUMA HII'nikikaa siku mbili napata msg yao ya Olimpiki,na wanakata pesa yangu..sasa nimechoka naomba ushauri, kwanza nashangaa namba yangu nani kawapa wakati sijawahi jiunga na huduma za kilofa..
mimi ni memba wa JF chochote nachotaka kufahamu nakipata mfano michezo,siasa,mapenz,elimu,biashara nk.kwanini waniibie si bora nichangie JF
Angalizo
sijawahi jiunga na huduma 15556,ningejiunga ningesema na ningeomba kusaidiwa kujitoa
'Vox populi,Vox dei"
mimi ni memba wa JF chochote nachotaka kufahamu nakipata mfano michezo,siasa,mapenz,elimu,biashara nk.kwanini waniibie si bora nichangie JF
Angalizo
sijawahi jiunga na huduma 15556,ningejiunga ningesema na ningeomba kusaidiwa kujitoa
'Vox populi,Vox dei"