Wezi wa maembe!!!

Kingdom_man

JF-Expert Member
May 19, 2010
405
456
Jamaa wawili waliiba embe kiroba kizima wakakimbilia mochwari bila kujua,
wakati wanaingia wakaangusha embe 2 mlangoni, mlinzi hakuwaona alilala aliposhtuka akasikia jamaa wanagawana " hii yako hii yangu", mlinzi akakimbilia kumwita doctor "njoo usikie malaika na shetani wanagawana maiti", walipofika tu mlangoni,
wakasikia "na zile mbili tulizoacha mlangoni?"
doctor na mlinzi mbioo!.......................LOL
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…