Weusi wazungumzia kuhusu tuhuma za Joh Makini kubebwa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Joh Makini, Nikki wa pili na G.nako wakihojiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio wamezungumzia suala la kubebwa alilodai Young Killer
Joh Makini yeye hakutaka kulizungumzia kabisa na kudai ni upuuzi
G Nako akijibu amedai kuwa alisema hivyo ili aonekane amezungumza na watu wamzungumzie... na Nikki wa pili akadai kuwa Joh Makini anabebwa kwa sababu vitu vizuri mfano fedha...huwa vinabebwa

 
Hawa weusi na wenyewe ni mapoyoyo!! Wao si wamechanwa kwenye mistari na wao si wangemchana kwenye mashairi... ni aibu kwa wakongwe kutafta interview kujazana studio kumjibu dogo aliwechana kwenye mashairi
 
Hawa weusi na wenyewe ni mapoyoyo!! Wao si wamechanwa kwenye mistari na wao si wangemchana kwenye mashairi... ni aibu kwa wakongwe kutafta interview kujazana studio kumjibu dogo aliwechana kwenye mashairi
wameulizwa mkuu..haikuwa ajenda yao kuzungumzia hilo swala
 
wameulizwa mkuu..haikuwa ajenda yao kuzungumzia hilo swala
Kwani hyo ndo interview ya kwanza? Washaenda hadi Efm kuongelea hyo issue... Nikki anampoteza kaka yake Joh arudie enzi zake akiwa anajiita Rapture sasa hivi anapekekeshwa na Fursa
 
Joh Makini, Nikki wa pili na G.nako wakihojiwa kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio wamezungumzia suala la kubebwa alilodai Young Killer
Joh Makini yeye hakutaka kulizungumzia kabisa na kudai ni upuuzi
G Nako akijibu amedai kuwa alisema hivyo ili aonekane amezungumza na watu wamzungumzie... na Nikki wa pili akadai kuwa Joh Makini anabebwa kwa sababu vitu vizuri mfano fedha...huwa vinabebwa


hii vepeee
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom