...kwa nini limekuchoma moyoni sista??
Inategemea na how smart a man/guy is. Kama the guy is really smart upstairs and financially sound.....huwezi kuachwa kwasababu THE MORE SHE GROWS THE CLOSER YOU BECOME kwasababu mind yake inaanza kukuapproach kwa mapana yake.
Ila kama wewe ni zuzu tu alikukubali huko nyuma, obviously THE MORE SHE GROWS THE MORE YOU DEPART.
#I still love my bf na tumeanza kudate while I was in high school....he is very smart and we are becoming closer and closer each and everyday.
#BEING SMART IS THE BIGGEST POINT HERE
Duh wng nimemwacha chuo nipo mwanza ye anasoma dar. Na likizo anaenda kwao Songea. Japo aliyoyaongea mtoa mada yanaukweli flan lakin kwa manzi wng sijaona changes zozote.
Kama requirement yako ni being smart, basi ukikutana na #SMARTER guy imekula kwake (i mean anayemzidi wako, ambao ni wengi tu).
mi anda 25
LifeHacker heshima kwako mkuu!!! Je hizi ndoa za kampas (mahusiano kati ya student na student hasa chuoni) unazisemeaje?
Najua kuna idadi ya kutosha ya wanaume ambao ni waumini wazuri sana wa kufanya uchumba na wasichana wa sekondari na vyuo. Wasichana hao waliwapenda wanaume na kuamua kuwa na mahusiano nao au labda hawakuwapenda kabisa lakini waliamua kuwa na mahusiano nao ili waweze kunufaika kwa namna moja au nyingine!
Kikubwa zaidi bila kujali msichana/mwanamke alikupendea nini, ni kwamba kadri msichana anavyopevuka kielimu, kiakilia na kijiografia mtizamo wake unazidi kubadilika. Kwa hiyo kadri muda unavyoenda msichana anakutana na kujenga mahusiano na watu wenye sifa aidha zinazowavutia zaidi kuliko wapenzi wao wa mwanzo au sifa nzuri zaidi tofauti na za wapenzi wao wa awali. Kama msichana alikuona wewe ndio Alwatani wa kijijini kwenu alikotoka kwa sababu una bodaboda ndio akakupendea, basi mjini atakutana na watu wenye Hammer, Range Rover, Landcruiser, etc., halafu sikilizia maumivu atakayokuachia kama hujajajiandaa!
Mpaka sasa nina umri wa kutosha ila sijaona rafiki yangu yeyote, jirani au mtu yeyote ninayemfahamu ambaye ameweza kuoana na msichana aliyeanza urafiki naye akiwa sekondari au chuo. Kwa hiyo mlioamua kujiingiza kwenye mahusiano na watoto wa sekondari au vyuoni jiandaeni kisaiklojia maana "you may be dumped without further notice".
Wala usijali kwani hilo nalo ni SomoMkuu wa 27 washagegedwa vya kutosha mpaka basi
Najua kuna idadi ya kutosha ya wanaume ambao ni waumini wazuri sana wa kufanya uchumba na wasichana wa sekondari na vyuo. Wasichana hao waliwapenda wanaume na kuamua kuwa na mahusiano nao au labda hawakuwapenda kabisa lakini waliamua kuwa na mahusiano nao ili waweze kunufaika kwa namna moja au nyingine!
Kikubwa zaidi bila kujali msichana/mwanamke alikupendea nini, ni kwamba kadri msichana anavyopevuka kielimu, kiakilia na kijiografia mtizamo wake unazidi kubadilika. Kwa hiyo kadri muda unavyoenda msichana anakutana na kujenga mahusiano na watu wenye sifa aidha zinazowavutia zaidi kuliko wapenzi wao wa mwanzo au sifa nzuri zaidi tofauti na za wapenzi wao wa awali. Kama msichana alikuona wewe ndio Alwatani wa kijijini kwenu alikotoka kwa sababu una bodaboda ndio akakupendea, basi mjini atakutana na watu wenye Hammer, Range Rover, Landcruiser, etc., halafu sikilizia maumivu atakayokuachia kama hujajajiandaa!
Mpaka sasa nina umri wa kutosha ila sijaona rafiki yangu yeyote, jirani au mtu yeyote ninayemfahamu ambaye ameweza kuoana na msichana aliyeanza urafiki naye akiwa sekondari au chuo. Kwa hiyo mlioamua kujiingiza kwenye mahusiano na watoto wa sekondari au vyuoni jiandaeni kisaiklojia maana "you may be dumped without further notice".
We can't think alike. Thats according to your side of life.
Nisingempenda kama angekua mbumbumbu.