Nash mberwa
Member
- Apr 3, 2012
- 11
- 0
Bembeleza kaka ikibidi mtolee machozi huwa wanapenda sana wakiona machozi ya mtu mzima.
Eti jaman,nyie hawa mabinti mnawezaje kuwahandle?maana mie huyu kipoozeo wangu hata simuelewi,kitu kdogo kananuna cku nzima,mkiongea hvi leo,kesho kamechange,yan kila kitu kwake ye kiko zigzag!!ebu nipen maujanja kidogo,maana leo nimeudhka hadi nikatamani kukalamba makofi..
Eti jaman,nyie hawa mabinti mnawezaje kuwahandle?maana mie huyu kipoozeo wangu hata simuelewi,kitu kdogo kananuna cku nzima,mkiongea hvi leo,kesho kamechange,yan kila kitu kwake ye kiko zigzag!!ebu nipen maujanja kidogo,maana leo nimeudhka hadi nikatamani kukalamba makofi..
Unajitafutia kupata brain concusion mkuu..
Sehemu gani kasema ni mtoto mwenzie?Ujinga mwingine. . . .
Sasa kama ni mtoto mwenzio unashindwaje kumuelewa? Akili zenu si zinafanya kazi sawasawa?
Hapo naona kama unanizungumzia vile, si unajua si kulaumu ndo raha ya kupata mwanamke anaye kupenda.Duuh JF is more than social network, kuna watu wanapendaga kutunga story humu. Mara napendwa na dokta mara watoto wa chini ya miaka 20, mara nimemtia mimba.
Yani vitukozzzzzzzzzzzzz:A S angry: