Wenye magari hii ni kweli?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
16,607
Reaction score
27,384
Sikiliza…

Your browser is not able to display this video.
 
Sikiliza…
Ni kweli kabisa!
Basi tulipata msiba mkoani, watu karibu 10 wananiuliza -unakwenda?
Kama unakwenda nipe lifti.
Nikawapa lifti watatu.
Basi hawatoi hela ya mafuta, ila wakati wa kurudi kila mtu kanunua vyakua mpaka mimi nakosa nafasi ya kuweka vya kwangu.
Na mkifika kila mtu anataka apelekwe nyumbani kwake.
Siku hizi nawaambia siendi au nalala pale njiani na naondoka usiku, kila mtu ajitegemee gesti tukifika mahala fulani.
Wanapungua karibia wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…