Mwache na maisha yake usimpangie kwani yeye ni wakwanza kwenda club ile ni life style yake no one has the right to question umejuaje ni kahaba it seems you hate her ndo mana umekimbilia kumwanzishia Uzi
Mwache na maisha yake usimpangie kwani yeye ni wakwanza kwenda club ile ni life style yake no one has the right to question umejuaje ni kahaba it seems you hate her ndo mana umekimbilia kumwanzishia Uzi
Maana yangu ni kwamba yy kama kioo cha jamii hakupaswa kuonyesha ishu kama zile za club kwa saaaana, kulewa na kutukana watu cyo ishu wewe unadhani anafundisha nini jamii? ??
Hiv kioo chako kile huwa kinakuonesha ulivyo au kinakupa image nyingine? Hawa watu ni vioo vya jamii kwa maana kwamba wanareflect yale ambayo yapo ndani ya jamii.jamii ndo inaset standard sasa kupitia wao jamii inapata kuona vile ilivyo.
Maana yangu ni kwamba yy kama kioo cha jamii hakupaswa kuonyesha ishu kama zile za club kwa saaaana, kulewa na kutukana watu cyo ishu wewe unadhani anafundisha nini jamii? ??
Kioo chenyewe kimechafuka! jamii itajitazamaje sasa? Hiyo ni endless fame what she is doing is to make sure she is always in our talk! Mi sioni jamii inafundishikaje! Vipo vioo vya jamii ila sio hicho.