antiwela
Member
- Aug 8, 2013
- 15
- 4
vodacom byebye nyie kazi uizi mtupu. ngashtuka!!
airtel nitakupenda daima nitakutumikia milele na milele.
voda mmeniibia vya kutosha. kazi kunilazimisha nijiunge kila siku halafu nikikataa mnafyeka pesa zangu zote zilizo kwenye acc yangu. msonyoooooo. nimewavumilia weee sasa nimeamua kutengana na nyie.
RIP VODACOM.
AIRTEL KARIBU MWAYEGO.
airtel nitakupenda daima nitakutumikia milele na milele.
voda mmeniibia vya kutosha. kazi kunilazimisha nijiunge kila siku halafu nikikataa mnafyeka pesa zangu zote zilizo kwenye acc yangu. msonyoooooo. nimewavumilia weee sasa nimeamua kutengana na nyie.
RIP VODACOM.
AIRTEL KARIBU MWAYEGO.