james marco
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 208
- 167
Ww jamaa aishi manula umemwonea acha wivu wewe
Mimi huwa naona kama sifa anazojazwa ni nyingi sana wakati yeye namuona ni golikipa Wa kawaida tu. Sina wivu kwake kwa sababu haitasaidiaWw jamaa aishi manula umemwonea acha wivu wewe
boss kwa sasa hivi yule jamaa anamauewzo kwa hapa bongoMimi huwa naona kama sifa anazojazwa ni nyingi sana wakati yeye namuona ni golikipa Wa kawaida tu. Sina wivu kwake kwa sababu haitasaidia
Na mimi nashangaa sanaKindoki huyu kipa sijui kafikaje pale Yanga,
Duuu kuna daluga yake moja ili trend sana kuna kipindiPape Nd'aw
Gonzalo Higuain huyu ndo kabisaaa wa ovyoo, wengine mbona awako vizuri tuSalamu ndugu,
Wadau kwenye mpira Wa miguu wakati mwingine nimeona kuna baadhi ya wachezaji wakisifiwa sana kinyume na uwezo wao halisi katika utimizaji majukumu uwanjani kwenye nafasi zao. Nadhani hili hata nyie wenzangu mmeshakutana nalo sana ktk maono yenu. Hebu Leo tuwabaini wachezaji hao ambao wamewahi kupata/ wanapata sifa zisizoendana na uwezo halisi Wa mchezaji husika. Mimi naanza na Gonzalo Higuain, Mario Baloteli, Aishi Manula, Joseph Kaniki, Andrew Vicent 'Dante' na Dante Bonfim Costa Santos Mwenyewe.
DuuuC. Ronaldo
Samatta
Pogba
Messi
Lukaku
Neymar
maestro Andre pirloSalamu ndugu,
Wadau kwenye mpira Wa miguu wakati mwingine nimeona kuna baadhi ya wachezaji wakisifiwa sana kinyume na uwezo wao halisi katika utimizaji majukumu uwanjani kwenye nafasi zao. Nadhani hili hata nyie wenzangu mmeshakutana nalo sana ktk maono yenu. Hebu Leo tuwabaini wachezaji hao ambao wamewahi kupata/ wanapata sifa zisizoendana na uwezo halisi Wa mchezaji husika. Mimi naanza na Gonzalo Higuain, Mario Baloteli, Aishi Manula, Joseph Kaniki, Andrew Vicent 'Dante' na Dante Bonfim Costa Santos Mwenyewe.