Ni tatizo la tangu zamani,
Wanatumia server za zamani, Pesa za server mpya wanatafuna.
Sever za Necta haziwezi kumudu watu elf 20 wakiingia kwa mpigo, mbadala wa uhakika wawe wanaweka matokeo server za jamiiforums, hata watu milioni waingie kwa mpigo, kitu kimesimama.