Dunia ya leo mnapokea maombi kwa njia ya Posta! Barua za Maombi kutoka Ngara, Malinyi, Kasulu, Tandahimba, Simiyu na pembe zote za nchi, zitatumia muda gani kuwafikia? Na wakati huo huo mkongo wa taifa ushaenea sehemu kubwa ya nchi, huku ofisi nyingi za Posta na Halmashauri zina Access ya Internet!
Haya bwana, nawatakia kila la kheri!