We unasema wa nini wapo wanaosema watampata lini

wazabangah1

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
315
114
Mapenzi ni matamu sana hasa ukampata yule akupendae kwa dhati, na kama ni KE mwenye kubembeleza kwa sauti ya upole, na asiwe anapaza sauti pasipo stahili, na kama ME awe mwenye kujua kutafutata na kumsikiliza mpenziwe hasa panapokuwa na uhitaji wakufanya hivyo kwa moyo mmoja.

Usiwe mnyonge kwa kua mpenzio ni maskini au hana kazi nzuri ya kufanya. Cha msingi hapo nikuendelea kumuombea Mungu. Na usimdai mpenzio vitu vingi visivyo na ulazima au vile ambavyo unajua kabisa hatakua na uwezo navyo.

Nachotakua kuweka sawa hapaa ni kuwa cha kabisa kumdharau mwenzi wako kwasababu zozote zile,
Na ukae ukiamini kua wewe leo hii unasema wa nini ila kuna mwingine pembeni yako anasema atampata lini.
 
Wamekusikia,wamekuelewa lakini hawatayazingatia

Nadhanii hapo kwenye kizingatia inabidi muhusika achague mwemyewe! Ila ni vyema kufanya yaale yampendezayo mwandani wako! Kutokufanya hivyo ni kulia na kusaga meno hapo baadae
 
Wamekusikia,wamekuelewa lakini hawatayazingatia

Nadhanii hapo kwenye kizingatia inabidi muhusika achague mwemyewe! Ila ni vyema kufanya yaale yampendezayo mwandani wako! Kutokufanya hivyo ni kulia na kusaga meno hapo baadae
 
Haha umenikumbusha kamsemo ka lara 1 nilikanyakaga kwenye comments zake ukinidelete wenzio wananidownload! Halafu hili sio dongo la mtu kweli??

Hahaha! Sio dongo.. Nimefikisha tuu Kama lilivyo, ila nadhani nikitu ambacho kiko katika maisha yetu ya kila siku ya mahusiano, nikukumbushana na kufikira wapi tuendapo na nini nafsi zetu zinahitaji ile ni furaha na amani zitawalee
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke anakuwa na thamani kama akiuvaa uanamke wake na kuamua kuishi kwenye asili yake ambayo ni upole, upendo na kuwa mwenye huruma na vile vile mwanamke hushuka thamani na kuonekana kituko akiamua kuuvua uanamke wake na kuishi nje ya asili yake kwa kuunadi mwili wake kwa vipande vya fedha...........
 
Haha umenikumbusha kamsemo ka lara 1 nilikanyakaga kwenye comments zake ukinidelete wenzio wananidownload! Halafu hili sio dongo la mtu kweli??
I think, Mwanaume ni kama "Mwiko wa kupikia chakula" !! Mwenzio akiutumia unauosha huo mwiko na wewe unautumia kama kawaida.... hapo usijaali kwani wanaume ni babalishe, uliza tu kama mwiko umesuzwa ?!!
 
Mwanamke anakuwa na thamani kama akiuvaa uanamke wake na kuamua kuishi kwenye asili yake ambayo ni upole, upendo na kuwa mwenye huruma na vile vile mwanamke hushuka thamani na kuonekana kituko akiamua kuuvua uanamke wake na kuishi nje ya asili yake kwa kuunadi mwili wake kwa vipande vya fedha...........

Maneno matamu, haswaaaa yani MULE MULEEEE!
 
Swadaktaaa
Mwanamke anakuwa na thamani kama akiuvaa uanamke wake na kuamua kuishi kwenye asili yake ambayo ni upole, upendo na kuwa mwenye huruma na vile vile mwanamke hushuka thamani na kuonekana kituko akiamua kuuvua uanamke wake na kuishi nje ya asili yake kwa kuunadi mwili wake kwa vipande vya fedha...........
 
Back
Top Bottom