We can't put a blind eye to this like nothing happened..

We can't put a blind eye to this like nothing happened..

leonwillian

Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
17
Reaction score
9
Kwanini hakuna steps zinazochukuliwa baada ya kukamata hizo ballot papers zimetikiwa magufuli.. 🙄
Labda hizo zilizokamatwa ni baadhi tu..
We can't put a blind eye to this like nothing happened.. 😱
 
Kwanini hakuna steps zinazochukuliwa baada ya kukamata hizo ballot papers zimetikiwa magufuli.. 🙄
Labda hizo zilizokamatwa ni baadhi tu..
We can't put a blind eye to this like nothing happened.. 😱

Kwenye Siasa kuna propaganda za kila aina na hiyo ni moja yake. Viongozi wako wanajaribu kuweka sintofahamu kwa nchi ili waungwe mkono na wasiojielewa. Amkeni. Tunasubiti kumuapisha JPM.
 
Mkuu washatangaza majimbo matatu tu, usipanick mapema kaa usubiri...
Hadi sasa magufuli 70%+, majimbo mengine huwezi jua mambo yakageuka
 
Back
Top Bottom