Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu , weekend imekaaje ?
Nimepata wazo fulani.
Sijawahi kufunga ndoa ila naishi na mwanamke kwa makubaliano fulani.
Kutokana na ugumu wa kupata mtaji wa fedha kwa ajili ya kuanzisha biashara hasa kujiingiza kwenye kilimo cha umwagiliaji , nimeamua nitengeneze harusi feki then mwisho wa siku michango ikishakamilika naahirisha harusi kwa sababu kwamba tumepishana / tumegombana na mwanamke wangu , na nitamtoa home aende huko kwao kwa muda.
Fedha ambayo itakuwa imechangwa nitakaa na Mwenyekiti na Mweka Hazina tujue cha kufanya , wachangiaji wataambiwa sherehe imesogezwa mbele wataarifiwa.
Nataka kuingia shambani.Yaani ninunue shamba la ekari 5 karibu na maji ya mto then nilime.Najua michango haitapungua 15mil.
Sidhani kama huu ni wizi , bali ni akili au wazo linalojenga.
Nikishafanikiwa kwenye kilimo ntafunga ndoa kwa gharama zangu na kuwaalika wale wote ambao walinichangia. Ili wasione kama pesa yao imeenda bure.
Ni kipindi cha ndani ya mwaka mmoja tu.
Nimepata wazo fulani.
Sijawahi kufunga ndoa ila naishi na mwanamke kwa makubaliano fulani.
Kutokana na ugumu wa kupata mtaji wa fedha kwa ajili ya kuanzisha biashara hasa kujiingiza kwenye kilimo cha umwagiliaji , nimeamua nitengeneze harusi feki then mwisho wa siku michango ikishakamilika naahirisha harusi kwa sababu kwamba tumepishana / tumegombana na mwanamke wangu , na nitamtoa home aende huko kwao kwa muda.
Fedha ambayo itakuwa imechangwa nitakaa na Mwenyekiti na Mweka Hazina tujue cha kufanya , wachangiaji wataambiwa sherehe imesogezwa mbele wataarifiwa.
Nataka kuingia shambani.Yaani ninunue shamba la ekari 5 karibu na maji ya mto then nilime.Najua michango haitapungua 15mil.
Sidhani kama huu ni wizi , bali ni akili au wazo linalojenga.
Nikishafanikiwa kwenye kilimo ntafunga ndoa kwa gharama zangu na kuwaalika wale wote ambao walinichangia. Ili wasione kama pesa yao imeenda bure.
Ni kipindi cha ndani ya mwaka mmoja tu.