Preciousdebbie
Member
- Nov 1, 2021
- 28
- 32
Wapendwa niko na ml3 nimepewa na mzazi wangu ili nifungue biashara mahali Dar es Salaam lakini biashara hiyo iwe na uwezo wa kuleta faida laki4 kwa mwezi na iwe nje ya frame wenye mawazo tafadhal mnisaidie.
Njoo PM, tuyajenge.Wapendwa niko na ml3 nimepewa na mzazi wangu ili nifungue biashara mahali Dar es Salaam lakini biashara hiyo iwe na uwezo wa kuleta faida laki4 kwa mwezi na iwe nje ya frame wenye mawazo tafadhal mnisaidie.
Umenchekesha sana mkuu kwa hii comment yakoWewe na mzazi wako wote ni vichaa..



Kwa haraka haraka hapo ukipata eneo zuri fungua zile juicy point naona unaweza ingiza hiyo 15,000/= kwa siku ila fremu hapo haikwepeki na ni vema ukajifunze kwa wanaofanya hiyo biashara kwanza.Wapendwa niko na ml3 nimepewa na mzazi wangu ili nifungue biashara mahali Dar es Salaam lakini biashara hiyo iwe na uwezo wa kuleta faida laki4 kwa mwezi na iwe nje ya frame wenye mawazo tafadhal mnisaidie.