ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 921
- 1,800
Vijana popote mulipo hebu tufike mahali tufikiri nje ya box. Tukikaa kulialia eti hakuna fursa wakati wageni wanakuja mpaka wanatucheka. Nilitembelewa miaka ya nyumba na jamaa yangu kutoka Cameroon tukiwa pale posta gorofani baada ya kuiona bahari tu alisema ningekuwa m Tanzania ningeshakuwa bilionea akacheka tukaendelea na Mishe zetu,.
Back to the Topic. Mikoa ya Morogoro inawafugaji wengi kuna fursha ya kuanzisha kiwanda pale juhudi za mmoja mmoja zinaweza zikawa ndoto. Wenye Nia 10 tunaweza pool resources na kuanzisha kiwanda kikubwa tu. La msingi Tuache woga eti wabongo hawaaminiki wakati Kuna namna nzuri za kisheria kuanzisha kampuni ya pamoja.
Guy's nimefanya utafiti wa kutosha hii ishu ni potential natafuta partner 9 tuweze kuanzisha kiwanda.
Note.. Hata kama huna capital let meet and see.
Interested PM tuta exchange mawazo tuki-agree tutaandaa mkutano wa wadau.
Back to the Topic. Mikoa ya Morogoro inawafugaji wengi kuna fursha ya kuanzisha kiwanda pale juhudi za mmoja mmoja zinaweza zikawa ndoto. Wenye Nia 10 tunaweza pool resources na kuanzisha kiwanda kikubwa tu. La msingi Tuache woga eti wabongo hawaaminiki wakati Kuna namna nzuri za kisheria kuanzisha kampuni ya pamoja.
Guy's nimefanya utafiti wa kutosha hii ishu ni potential natafuta partner 9 tuweze kuanzisha kiwanda.
Note.. Hata kama huna capital let meet and see.
Interested PM tuta exchange mawazo tuki-agree tutaandaa mkutano wa wadau.