Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,937
- 10,815
Huyu waziri wa wizara ya vijana anaweza fanya vizuri mno kwa sababu ni miongoni mwa vijana walio tokea upande mwingine wa KISIASA akaenda kujiunga nao Ili akatimize NDOto zake(mie sijui).
Nisiende mbali kwa kweli alivyoanza ameanza vizuri ila NAKSHAURI
Anapoenda ziarani awe na working plan per week
Mathalani anatakiwa kujua alivyoenda chuo vikuu je alienda kuwauliza wanafunzi wanakula hawali? Je wanaboom hawana je wanachelewa kulala au la? Wanafunzi wa vyuo. Vikuu siku hizi wamekuwa wa ajabu sio chimbuko la mjidara mipana kama ilivyoliwa enzi zetu, Sasa hivi sio ajabu kumwona mtu mwenye mastazi anagalala barabarani litumbo nje kama Akina mwijaku uku akiwa na Baba levo wa Darasa la Saba ambae Sasa ni mbunge aliyemshinds MSOMI zitto zuberi kambwe.
WAZIRI anakwenda kuzungumza hapeleki hotuba nashauri
Ebu muhite Max wa jf yaani mkurugenzi muulize vijana zaidi ya 40 waliokosa ajira wakati jf imefungwa wanalishwa na serikali?
NIite Mimi sifi nikuelezeee madhira ya kujiajiri nchini Tanzania baada ya KUFUNGUA kampuni nchini Tanzania kwa Mwaka wa 8 nikuelezeee mbichi na chungu nilizopitia mikisa kumwekea RUSHWA mtumishi wa TRA kwenye ped eti afute madeni kwenye mfumo, madeni ambayo chanzo chake ni Sheria kandamizi kwa wazawa vijana wa tanzania.ili hali wawekezejaji kutoka nje wanapewa tax emption😂.
Muhite yule Mzee pascaly mayala akuelezee madhira aliyokutana nayo baada ya kumuuliza swali zito Hayati Magufuli na kupelekea OFISI zake kufungiwa na kupelekea vijana zaidi ya 40 KUKOSA ajira
Kwa ufupi kutana na vijana tuliojaribu kuwekeza pia nchini mwetu tukuelezee madhira tunayokutana nayo na usnayoganywa na vinara waubiri amani Ili Hali wanatuibia 2.5 bilioni .
Cc Nnauka waziri wa vijana, tunakusubili
Nisiende mbali kwa kweli alivyoanza ameanza vizuri ila NAKSHAURI
Anapoenda ziarani awe na working plan per week
Mathalani anatakiwa kujua alivyoenda chuo vikuu je alienda kuwauliza wanafunzi wanakula hawali? Je wanaboom hawana je wanachelewa kulala au la? Wanafunzi wa vyuo. Vikuu siku hizi wamekuwa wa ajabu sio chimbuko la mjidara mipana kama ilivyoliwa enzi zetu, Sasa hivi sio ajabu kumwona mtu mwenye mastazi anagalala barabarani litumbo nje kama Akina mwijaku uku akiwa na Baba levo wa Darasa la Saba ambae Sasa ni mbunge aliyemshinds MSOMI zitto zuberi kambwe.
WAZIRI anakwenda kuzungumza hapeleki hotuba nashauri
Ebu muhite Max wa jf yaani mkurugenzi muulize vijana zaidi ya 40 waliokosa ajira wakati jf imefungwa wanalishwa na serikali?
NIite Mimi sifi nikuelezeee madhira ya kujiajiri nchini Tanzania baada ya KUFUNGUA kampuni nchini Tanzania kwa Mwaka wa 8 nikuelezeee mbichi na chungu nilizopitia mikisa kumwekea RUSHWA mtumishi wa TRA kwenye ped eti afute madeni kwenye mfumo, madeni ambayo chanzo chake ni Sheria kandamizi kwa wazawa vijana wa tanzania.ili hali wawekezejaji kutoka nje wanapewa tax emption😂.
Muhite yule Mzee pascaly mayala akuelezee madhira aliyokutana nayo baada ya kumuuliza swali zito Hayati Magufuli na kupelekea OFISI zake kufungiwa na kupelekea vijana zaidi ya 40 KUKOSA ajira
Kwa ufupi kutana na vijana tuliojaribu kuwekeza pia nchini mwetu tukuelezee madhira tunayokutana nayo na usnayoganywa na vinara waubiri amani Ili Hali wanatuibia 2.5 bilioni .
Cc Nnauka waziri wa vijana, tunakusubili