johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Naibu Waziri Judith Kapingi amesema kuna Ufisadi ulifanyika Wizarani Kwake pale Tanoil na kwamba TAKUKURU imekamilisha uchunguzi ambapo baadhi ya wafanyakazi watapandishwa mahakamani soon
Kadhalika kundi la Wafanyabiashara walionufaika na Discount iliyosababisha hasara kwa Serikali Watafikushwa Mahakamani
Mh Judith amesema Wafanyabiashara wasijisumbue kumtumia sms, memo au kumpigia Simu
TBC
Kadhalika kundi la Wafanyabiashara walionufaika na Discount iliyosababisha hasara kwa Serikali Watafikushwa Mahakamani
Mh Judith amesema Wafanyabiashara wasijisumbue kumtumia sms, memo au kumpigia Simu
TBC