President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,548
- 89,516
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Ashatu Kijaji akiwasili katika Ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma na kupokelewa na Menejimenti na watumishi wa Wizara hiyo baada ya uapisho wake tarehe 18, Novemba 2025.