Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Mara kwa mara,ndani ya Bunge na nje ya Bunge, aliekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini,mh.David Kafulila, alikuwa akipendekeza na kusisitiza kuwa makampuni ya kuchimba madini, makampuni ya simu n.k yanatakiwa yasajiliwe katika Soko la Hisa la Dar-es-salaam (Dar-es-salaam Stock Exchange) kwa lengo la kuhakikisha makampuni makubwa haya hayakwepi kodi na pia yanalipa kodi sahihi serikalini.
Mh.Waziri,kwasababu serikali hii imeamua kulivalia njuga swala la ulipakaji kodi,basi nakushauri ulifanyie kazi wazo hili la kijana mzalendo wa nchi hii,ndugu David Kafulila ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya serikali sambamba na kudhibiti ukwepaji wa makampuni makubwa katika ulipaji kodi.
Nawasilisha.
Mh.Waziri,kwasababu serikali hii imeamua kulivalia njuga swala la ulipakaji kodi,basi nakushauri ulifanyie kazi wazo hili la kijana mzalendo wa nchi hii,ndugu David Kafulila ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya serikali sambamba na kudhibiti ukwepaji wa makampuni makubwa katika ulipaji kodi.
Nawasilisha.
Last edited by a moderator: