Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,758
Habari.
Nikiwa mtanzania mkereketwa katika shughuli za kimaisha kila siku. Naomba niseme kitu nafasi ya uwaziri wa afya aliyonayo Ummy mwaimu imumpwaya kwa sasa.
Kuna mambo machache yamemtoa mchezoni.
1. Kuondoa bima ya watoto.
2. Kujenga Hospitali nyingi na vituo vya afya lakini kukosekana kwa watumishi wa afya wa kutosha.
3. Wizara yake ya afya imekuwa ikifanya kazi kwa viclip vinavyopostiwa na Mange kimambi na kusahau kuingia mzigoni wenyewe.
4. NHIF kutowalipa kwa wakati wamjliki wa hospital na vituo vya afya na NHIF kuendelea kuondeshwa kwa hasara kubwa sana.
5. Kukandamiza watumishi wa afya kwa Sera walizozitengeza wenyewe. Kusema mama mjamzito kujifungua bure ni Uongo na pindi tatizo linapotokea katika jamii la mama mjamzito kufa watumishi wa umma ndo wenye makosa.
6. Maneno mengi vitendo 0
Nikiwa mtanzania mkereketwa katika shughuli za kimaisha kila siku. Naomba niseme kitu nafasi ya uwaziri wa afya aliyonayo Ummy mwaimu imumpwaya kwa sasa.
Kuna mambo machache yamemtoa mchezoni.
1. Kuondoa bima ya watoto.
2. Kujenga Hospitali nyingi na vituo vya afya lakini kukosekana kwa watumishi wa afya wa kutosha.
3. Wizara yake ya afya imekuwa ikifanya kazi kwa viclip vinavyopostiwa na Mange kimambi na kusahau kuingia mzigoni wenyewe.
4. NHIF kutowalipa kwa wakati wamjliki wa hospital na vituo vya afya na NHIF kuendelea kuondeshwa kwa hasara kubwa sana.
5. Kukandamiza watumishi wa afya kwa Sera walizozitengeza wenyewe. Kusema mama mjamzito kujifungua bure ni Uongo na pindi tatizo linapotokea katika jamii la mama mjamzito kufa watumishi wa umma ndo wenye makosa.
6. Maneno mengi vitendo 0