Kauli za kejeli zinazidi kutolewa na viongozi wetu baada ya Waziri ngeleja kuueleza umma kupitia TBC kuwa hata kama wananchi wataumia kiasi gani, gharama za umeme lazma zipande. Akazidi kueleza kuwa gharama zenyewe ni kati ya sh. 9-11 na.., so hakuna haja ya watanzania kuhamaki na kuchukua hatua za nguvu umma kwa ongezeko hilo.
Lakini ni kweli 18.5% ni asilimia ndogo kwa wanaojua mathematics?