Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 989
Alikuwa akihitimisha hoja za wabunge kuhusu Bajeti yale masaa sita yaliyopita.
Alifika mahala siku hizi taarifa za meseji za simu ni nyingi kuliko maelezo na yeye kama Waziri na hata IGP wanazipata na wanazijadili na wakati mwingine wanazifanyia kazi.
Kisha akawasihi wabunge kwamba tembeeleeni mitandao ya kijamii muone vijana wetu wanavyojibizana huko....
MY TAKE:
Kwa kauli hii, basi hata waliokuwa wanchukia hii kitu iitwayo Jamii Forum, forum inayoongoza kufumua chochote toka kokote kiliko basi tutarajie ID mpya nyingi kuanzia sasa na wenye ujasiri watajitokeza waziwazi kama tulivyojulishwa ujio wa Mama Tibaijuka wiki mbili zilizopita.
Alifika mahala siku hizi taarifa za meseji za simu ni nyingi kuliko maelezo na yeye kama Waziri na hata IGP wanazipata na wanazijadili na wakati mwingine wanazifanyia kazi.
Kisha akawasihi wabunge kwamba tembeeleeni mitandao ya kijamii muone vijana wetu wanavyojibizana huko....
MY TAKE:
Kwa kauli hii, basi hata waliokuwa wanchukia hii kitu iitwayo Jamii Forum, forum inayoongoza kufumua chochote toka kokote kiliko basi tutarajie ID mpya nyingi kuanzia sasa na wenye ujasiri watajitokeza waziwazi kama tulivyojulishwa ujio wa Mama Tibaijuka wiki mbili zilizopita.