ELIMU YA SASA HAKUNA;waziri ni mkubwa kuliko mkuu wa mkoa. Kwenye cha siasa darasa la tano kulikuwa na mtiririko wa serikali kuanzia Rais hadi mtendaji wa kijiji.
MBUNGE NA WAZIRI NANI MWENYE NGUVU,Serikali ya sasa inafanya mambo kwa mihemko tu, si ajabu kusikia secretary anamuamrisha bosi wake jinsi ya kupanga taratibu za kazi.
... Kweli bhanaa, kumbe hata wewe unajua?... secretary analetwa naye pia sijuiii!...Serikali ya sasa inafanya mambo kwa mihemko tu, si ajabu kusikia secretary anamuamrisha bosi wake jinsi ya kupanga taratibu za kazi.