MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kwakuwa nia yenu ni Kumkomoa Mo Dewji na mmesema kuwa mnataka Wawekezaji wawe Watatu ili wote wapate Mjumuisho wa Umiliki wa 49% kwa Klabu yetu basi na Sisi wana Simba SC wenye Akili kubwa, pana na nyingi tumeamua yafuatayo….
Mo Dewji atamiliki Hisa za 30%
Gullum Dewji atamiliki Hisa za 10%
Fatma Dewji atamiliki Hisa za 9%
Jumla yake ni 49%
Sasa njoo na lingine tena ili utujue vyema Sisi wana Simba SC.
Tumekuvumilia vya Kutosha na tumekuchoka. Nitahakikisha nakupiga Zengwe hadi Rais JPM akutumbue hapo ulipo kwani umeonyesha una Chuki za wazi wazi na Simba SC yetu japo kwa Unafiki wako mkubwa unajifanya Wewe ni Mwenzetu ( Mwana Simba SC ) wakati kumbe Kiuhalisia Wewe ni Yanga SC kindakindaki.
Na Mimi cleverbright nasema usisumbuke kabisa kuja katika Kilele chetu cha Simba Day tarehe 6 kwani tutakuzomea Uwanja mzima kwani tumeshakugundua kuwa Wewe ndiyo Adui Namba Moja wa Simba kisha unafuatiwa na Mzee Kilomoni na anamalizia Ismail Aden Rage.
Umeshatutibua wana Simba SC wote!
Mo Dewji atamiliki Hisa za 30%
Gullum Dewji atamiliki Hisa za 10%
Fatma Dewji atamiliki Hisa za 9%
Jumla yake ni 49%
Sasa njoo na lingine tena ili utujue vyema Sisi wana Simba SC.
Tumekuvumilia vya Kutosha na tumekuchoka. Nitahakikisha nakupiga Zengwe hadi Rais JPM akutumbue hapo ulipo kwani umeonyesha una Chuki za wazi wazi na Simba SC yetu japo kwa Unafiki wako mkubwa unajifanya Wewe ni Mwenzetu ( Mwana Simba SC ) wakati kumbe Kiuhalisia Wewe ni Yanga SC kindakindaki.
Na Mimi cleverbright nasema usisumbuke kabisa kuja katika Kilele chetu cha Simba Day tarehe 6 kwani tutakuzomea Uwanja mzima kwani tumeshakugundua kuwa Wewe ndiyo Adui Namba Moja wa Simba kisha unafuatiwa na Mzee Kilomoni na anamalizia Ismail Aden Rage.
Umeshatutibua wana Simba SC wote!