YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Nimetoka Rwanda na kawaida yangu nikisafiri nchi yoyote Duniani Mimi huangalia fursa tu sitaki kurudi na album ya picha tu nilizopiga maeneo maeneo.
Nimerudi na fursa toka Rwanda wanyarwanda ni land locked country baada ya ugomvi wao na Uganda na kufungiana mipaka Kila mfanyabiashara Rwanda bidhaa zake anataka kuchukua Tanzania kwa sababu upande wa Uganda hakuendeki.
Wafanyabiashara Kariakoo fursa hiyo.Fungueni miduka muuzie wanyarwanda.Biashara njema.Changamukieni fursa hiyo.
Nimerudi na fursa toka Rwanda wanyarwanda ni land locked country baada ya ugomvi wao na Uganda na kufungiana mipaka Kila mfanyabiashara Rwanda bidhaa zake anataka kuchukua Tanzania kwa sababu upande wa Uganda hakuendeki.
Wafanyabiashara Kariakoo fursa hiyo.Fungueni miduka muuzie wanyarwanda.Biashara njema.Changamukieni fursa hiyo.