Waziri Mkuu wa Somali ajiuzulu

sulphadoxine

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
2,257
645
Mohamed Abdullahi Mohamed


Waziri Mkuu wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed amejiuzulu kufwatana na mkataba ulioungwa mkono na Umoja wa Mataifa ili kumaliza msukosuko wa nchi hiyo.
Bwana Mohamed ambaye juma hili alisema hatoondoka amesema ameamua kung'atuka kwa sababu ya maslahi ya watu wa Somalia.
Maelfu ya wa Somali waliandamana kupinga uamuzi wa kumuondosha waziri mkuu wakisema kuwa anawalipa watu mishahara yao.
Pia, alipiga vita rushwa na amepiga hatua dhidi ya wapiganaji wa Kiislamu ambao wanadhibiti sehemu kubwa ya nchi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…