Viongozi zote za Afrika ni vitarishi tu.
Zile ambazo zinakataa utarishi huwa zinashugulikiwa kama Gaddafi, kama Mugabe.
Kwanza viongozi zenyewe zinagushi kura,zinajitangazia ushindi na hazipo kwa maslahi ya mataifa yao bali matumbo yao.
Huko si ajabu amekwenda kuripoti kuhusu kazi aliyopewa, operation Al shabaab.