Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Imekuwa kama kawaida na waswahili husema kawaida ni kama sheria. Hakuna sheria inayozuia lakini imetokea tu mpaka sasa hakuna Waziri Mkuu Mstaafu amefanikiwa kuwa Rais.
Alipoondoka Mwl Nyerere, ilishindikana kwa Salim Ahmed Salim
Alipoondoka Mwinyi, hali ikawa hiyo hiyo
Alipoondoka Mkapa, ilishindikana kwa Sumaye
Sasa anapoondoka Kikwete, je Lowassa, Sumaye na Pinda wataweza?
Ni kama kuna laana fulani ya nafasi ya Waziri Mkuu na Urais. Labda 2015 itakuja na maajabu yake.
Alipoondoka Mwl Nyerere, ilishindikana kwa Salim Ahmed Salim
Alipoondoka Mwinyi, hali ikawa hiyo hiyo
Alipoondoka Mkapa, ilishindikana kwa Sumaye
Sasa anapoondoka Kikwete, je Lowassa, Sumaye na Pinda wataweza?
Ni kama kuna laana fulani ya nafasi ya Waziri Mkuu na Urais. Labda 2015 itakuja na maajabu yake.