Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akagua maendeo mradi wa bwawa la maji Kidunda

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba akagua maendeo mradi wa bwawa la maji Kidunda

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
261
Reaction score
199
Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda lililopo Mkoani Morogoro.

Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Dkt. Mwigulu amesema kuwa mradi huo unaakisi maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha nchi inakabiliana na changamoto ya upungufu wa maji hasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Pia, ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi huo hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze kutoa huduma ya maji kwa wananchi.

IMG-20260102-WA0088.jpg
IMG-20260102-WA0087.jpg
IMG-20260102-WA0080.jpg
IMG-20260102-WA0089.jpg
IMG-20260102-WA0091.jpg
IMG-20260102-WA0090.jpg
IMG-20260102-WA0083.jpg
IMG-20260102-WA0086.jpg
IMG-20260102-WA0085.jpg
IMG-20260102-WA0082.jpg
IMG-20260102-WA0093.jpg
IMG-20260102-WA0084.jpg
 

Attachments

  • IMG-20260102-WA0092.jpg
    IMG-20260102-WA0092.jpg
    175 KB · Views: 6
  • IMG-20260102-WA0081.jpg
    IMG-20260102-WA0081.jpg
    172.3 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom