Waziri mkuu Kassim Majaliwa: Tutakomesha rushwa ya ngono vyuoni

Ninashauri UDSM wasahihishe mitihani ya UDOM na UDOM wasahihishe mitihani ya UDSM . Na vyuo vingine vifanye hivyo hivyo.
 
 
University duniani nzima hakujawahi kuwa na mitihani ya Necta. Labda Tanzania tuanzishe
 
Tanzania tukianzisha ina hasara gani? Kuliko kuwa na wasomi wa degree za kuvuana nguo na kichwani ni hewa
Kuna baadhi ya regulations ni za dunia nzima huwezi kujianzishia tuu ilimradi. Halafu course za chuo ni tofauti na Kwa kila chuo. Kumbuka vyuo hivyo hawasomi watanzania tuu kuna hata foreigners
 
Mabaraza wakiwa na msimamo tutafanikiwa

Sio Kweli hakuna kufanikiwa kabisa...
Kitendo cha Mwl kuwa Yeye ndio anaeshikilia Ufaulu wa Mwanafunzi hahaha
Ngoja Nikuambie kitu...
Yaani Unavyoongea ni Kama Hujawahi soma Chuoni....vyuo vyetu hivi vya hapa bongo
Au ni kama unasema ni kama vile wewe ni mdingi unafanya Kazi UN uko bussy huelewi Kinachoendelea ktk familia Maadam wanakula!
Hata kama Mabaraza ya Chuo sijui,Sijui kukata rufaa,Hao Wanaofanikiwaga ni wachache sana,
Kwanini umpe Mtu mamlaka Maisha ya Mtu?
Halafu unasema eti ooh kuna Mabaraza,Sijui kuna nini sijui,
Ndio maana Form six safi sanaa hakuna Kujuana!
Unajua Sawa tume copy mfumo wa Elimu ya Juu toka Ulaya(Western)
Sio Kila Kitu cha Kukopy, wenzatu tamaduni zao ni ngumu hata tuu kumsogelea mwanafunzi,Kiufupi wenzetu wana maadili mnooo!
Sisi hakuna Uadilifu!
Mtu anakuambia eti mwl asiemwadilifu aripotiwe au Kuna Kamati,Sijui baraza
Ujinga tuu huo!
Mpaka wazungu wakibadilisha mfumo ndio na sisi tuta copy labda!
Jamaa yangu wa chuo flani alikuwaga anawatafuna sanaa Wanafunzi na Ana Maadili mnooo!Huwezi mdhania!na Yupo kwenye baraza pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…