Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa leo tarehe 13 / 08/2021 amekagua ujenzi wa Ikulu ya jijini Dodoma ambao mpaka sasa umefikia hatua ya finishing.
Waziri mkuu amerithishwa na maendeleo ya ujenzi huo na ana imani utakamilika kwa wakati na kukabidhiwa kwa watanzania.
View attachment 1890900